KILA Mtanzania nchini atakuwa na uwezo wa kupata simu ya kisasa na yenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini kabisa katika miaka mitano…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Dk Rose Migiro Awataka Wananchi Kuisoma Katiba Inayopendekezwa
Na Magreth Kinabo, MAELEZO WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya nayopendekezwa sura kwa sura na ibara baada ya ibara ili waielewe juu ya ufafanuzi wa masuala…
Continue Reading....Ufaransa Yakubali Kuitangaza Zanzibar Kiutalii
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar UFARANSA imeahidi kuitangaza Zanzibar kiutalii nchini mwake kupitia makampuni yake makubwa ya kitalii yaliopo nchini humo sambamba na kuendelea kuziunga…
Continue Reading....Mfanyabiashara Arusha Ajiua kwa Risasi Tatu
MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara,…
Continue Reading....Watoto Walemavu Mahenge Wasaidiwa Baiskeli
Na Mwandishi Wetu, Morogoro KAMPUNI ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli…
Continue Reading....Tanzania Kuomba Mkopo Poland Ujenzi wa Maghala
WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema Serikali inaangalia uwezekano wa kupata mkopo wenye masharti nafuu kutoka Serikali ya Poland utakaoliongezea Taifa uwezo wa kuhifadhi…
Continue Reading....