Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 387

Category: Habari za Nyumbani

Watakaohamia Kijiji cha Wasanii Kupewa Bustani Bure

Posted on: October 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Bustani, Kijiji cha Wasanii, Mkuranga
Watakaohamia Kijiji cha Wasanii Kupewa Bustani Bure

Na Mwandishi Wetu MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umetoa bustani bure kwa wanachama wake wanaomiliki nyumba katika kijiji chao cha Mwanzega Mkuranga ikiwa ni kuwawezesha…

Continue Reading....

Matukio Picha Siku Ilipofanyika ‘Ndoa’ ya UKAWA

Posted on: October 29, 2014October 29, 2014 - jomushi
Post Tags: Ndoa ya UKAWA, tanzania, Vyama vya Siasa
Matukio Picha Siku Ilipofanyika ‘Ndoa’ ya UKAWA

VYAMA vinne vya upinzani nchini, ambavyo ni Chadema, CUF, NCCR Mageuzi na NLD vilisaini makubaliano ya kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote…

Continue Reading....

Tanzania Yatuma Rambirambi Kifo cha Rais Zambia

Posted on: October 29, 2014 - jomushi
Post Tags: kifo, Michael Sata, Rais Zambia, tanzania
Tanzania Yatuma Rambirambi Kifo cha Rais Zambia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Michael Chilufya…

Continue Reading....

Women are Urged to Join Maritime Industry

Posted on: October 29, 2014 - jomushi
Post Tags: Maritime Industry, Women, WOMESA
Women are Urged to Join Maritime Industry

By Eleuteri Mangi – MAELEZO WOMEN have been encouraged to join the Maritime Industry through facilitation in education and training which is fundamental for advancement…

Continue Reading....

Kontena Laiaguki Daladala na Kuiponda…!

Posted on: October 28, 2014 - jomushi
Post Tags: ajali, Kontena, Lori
Kontena Laiaguki Daladala na Kuiponda…!

GARI dogo la abiria aina ya Haice leo jijini Dar es Salaam limedondokewa na kontena na kupondeka kabisa. Tukio hilo limetokea eneo la Yombo Jet…

Continue Reading....

Tanzania Yapinga Rasmi Kutambua Ndoa za Mashoga

Posted on: October 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Ndoa za Mashoga, tanzania
Tanzania Yapinga Rasmi Kutambua Ndoa za Mashoga

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari