Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 222

Category: Habari za Nyumbani

Ripoti ya Teknolojia na Ubunifu Yazinduliwa Tanzania

Posted on: December 18, 2015December 18, 2015 - jomushi
Post Tags: UN Tanzania

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (katikati) akiongozana na Naibu…

Continue Reading....

Wachina Wanne Wahukumiwa kwa Kuihujumu Tanzania

Posted on: December 18, 2015December 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Wachina
Wachina Wanne Wahukumiwa kwa Kuihujumu Tanzania

Watuhumiwa wakifikishwa mahakamani .   Pembe za Faru walizo kamatwa nazo watuhumiwa hao wanne rai wa China katika Mpaka wa Kasumulu Kyela. Na Ezekiel Kamanga,…

Continue Reading....

Serikali Kugawa Bure Dawa za Trakoma, Matende, Mabusha na Ngiri

Posted on: December 18, 2015December 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Dawa za Mabusha
Serikali Kugawa Bure Dawa za Trakoma, Matende, Mabusha na Ngiri

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Donan Mmbando  akieleza kuhusu Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi…

Continue Reading....

Mume Amuua Mke kwa Panga na Kujinyonga

Posted on: December 18, 2015 - jomushi
Post Tags: Mauaji
Mume Amuua Mke kwa Panga na Kujinyonga

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi. KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mwanaume mmoja Mkazi wa kijiji cha Malolo Ndugu  Chipunguli Mkisi (30) amemuua mke wake…

Continue Reading....

MO Dewji Foundation Yatoa Milioni 110 Kusaidia Watoto Wagonjwa wa Kansa

Posted on: December 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Magonjwa ya kansa
MO Dewji Foundation Yatoa Milioni 110 Kusaidia Watoto Wagonjwa wa Kansa

Meneja Mwendeshaji wa Taasisi ya MO Dewji, Francesca Tettamanzi (kulia) akitoa neno la ukaribisho kwa uongozi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha inayohudumia watoto wenye…

Continue Reading....

Waziri Kairuki Kutafuta Changamoto na Watumishi

Posted on: December 17, 2015 - jomushi
Waziri Kairuki Kutafuta Changamoto na Watumishi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, Anjella Kairuki (Mb) amesema atakaa na Watumishi katika ofisi zao ili kubaini changamoto zinazowakabili na kuzitatua.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari