Author: jomushi
Mahakama Yamfunga Jela Mwizi wa Nyaya za TTCL
Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam imemuhukumu kwenda jela miaka minne, Shaibu Muhidin Ndina baada ya kupatikana na…
Continue Reading....Ukweli wa Vurugu ‘Show’ ya Diamond Ujerumani…!
UKWELI wa show ya mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kuvurugika na msanii huyo kunusurika kula kichapo mjini Stuttgart Ujerumani umewekwa wazi na muandaaji…
Continue Reading....JK Awasili Kenya kwa Mkutano Maalum
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewasili Nairobi, Kenya, usiku wa Septemba Mosi, 2014, tayari kwa kuhudhuria Mkutano Maalum wa Wakuu wa…
Continue Reading....Mwenyekiti Bunge la Katiba Ahaidi Walemavu Kupewa Haki Katiba Mpya
Na Benedict Liwenga, Maelezo – Dodoma MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amewahakikishia Watu wenye Ulemavu nchini kuwa wanatendewa haki katika Katiba Mpya…
Continue Reading....Waziri Awataka Vijana Kuitumia Sekta ya Sanaa Kama Mkombozi wa Ajira
Na Genofeva Matemu – WHVUM VIJANA kutoka nchi za Afrika ya Mashariki wameshauriwa kujikita katika sekta ya sanaa kwani ni fani ambayo inatoa nafasi kubwa…
Continue Reading....