Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 749

Author: jomushi

Wafanyakazi Manispaa Kinondoni Wapewa Mafunzo na WWF

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Manispaa Kinondoni, Wafanyakazi, WWF
Wafanyakazi Manispaa Kinondoni Wapewa Mafunzo na WWF

SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la WWF, limeendesha mafunzo kwa wafanyakazi wa idara mbalimbali za Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) kuhusiana na ueneaji wa hewa…

Continue Reading....

Tanzania Kuongoza Afrika Maboresho Utoaji Haki za Watuhumiwa

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Afrika, Tanzania Maboresho, Utoaji Haki za Watuhumiwa
Tanzania Kuongoza Afrika Maboresho Utoaji Haki za Watuhumiwa

TANZANIA KUONGOZA NCHI ZA AFRIKA KATIKA MABORESHO YA UTOAJI HAKI ZA WATUHUMIWA NA MAHABUSU Utekelezaji wa miongozo ya Luanda kuimarisha haki za binadamu nchini UTEKELEZAJI…

Continue Reading....

Maabara ya Mkemia Mkuu Yabaini kg 6,428 za ‘Unga’

Posted on: September 2, 2014September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Maabara, Mkemia wa Serikali, Unga
Maabara ya Mkemia Mkuu Yabaini kg 6,428 za ‘Unga’

Na Fatma Salum MAELEZO WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imefanikiwa kubaini jumla ya kilogram 6,428.12 za sampuli mbalimbali za dawa za kulevya…

Continue Reading....

Mtoto wa Chekechea na Kaka Yake Walawitiwa

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Alawitiwa, Mtoto Chekechea
Mtoto wa Chekechea na Kaka Yake Walawitiwa

*Mlezi wao bibi miaka 80 aomba asaidiwe kisheria Na Yohane Gervas, Rombo WATOTO wawili wa Kijiji cha Aleni Chini, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, mmoja…

Continue Reading....

Mbunge Awataka Wananchi Kuacha Kilimo na Kufuga Nyuki

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: kilimo, Mbunge Rombo, Nyuki
Mbunge Awataka Wananchi Kuacha Kilimo na Kufuga Nyuki

Na Yohane Gervas, Rombo WANANCHI wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kupanda miti na kujishugulisha na ufugaji wa nyuki na kuacha kulalamikia wanyama pori aina ya…

Continue Reading....

Kikwete Ashiriki Kujadili Hatari na Athari za Ugaidi

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Hatari, kikwete, Magaidi
Kikwete Ashiriki Kujadili Hatari na Athari za Ugaidi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Septemba 2, 2014, ameungana na viongozi wengine wa Afrika na wajumbe kutoka nchi mbalimbali duniani kuhudhuria…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari