Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 409

Author: jomushi

Bi. Samia Suluhu Ahaidi Umeme Kila Kijiji Ruvuma, Viwanda vya Mahindi, Kahawa

Posted on: September 9, 2015September 9, 2015 - jomushi

Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (katikati) akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini, Martin Mtonda (kushoto)…

Continue Reading....

Mama Samia Atuwa Mkoani Ruvuma, Ainadi Ilani ya CCM Majimbo Mawili

Posted on: September 9, 2015September 9, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampeni CCM
Mama Samia Atuwa Mkoani Ruvuma, Ainadi Ilani ya CCM Majimbo Mawili

Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akisalimiana na Mjumbe wa Kamati ya Siasa CCM Mkoa wa Ruvuma,…

Continue Reading....

Tutadhibiti Wizi wa Dawa Hospitali za Serikali- Samia Suluhu

Posted on: September 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampeni CCM
Tutadhibiti Wizi wa Dawa Hospitali za Serikali- Samia Suluhu

Na Joachim Mushi, Dar es Salaam MGOMBEA mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu amesema Serikali watakayoiunda endapo watapewa…

Continue Reading....

Wagombea Udiwani Moshi Mjini CHADEMA Wajitambulisha

Posted on: September 6, 2015September 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampeni Chadema
Wagombea Udiwani Moshi Mjini CHADEMA Wajitambulisha

  Mkutano wa Hadhara wa Kampeni wa Utamburisho wa wagombea wa Udiwani katika jimbo la Moshi mjini. Mgombea wa nafasi ya Udiwani kwa tiketi ya…

Continue Reading....

Mgodi wa BGML Watumia Nusu Bilioni Kufadhili Vijana

Posted on: September 6, 2015September 6, 2015 - jomushi
Mgodi wa BGML Watumia Nusu Bilioni Kufadhili Vijana

MGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML, unaomilikiwa na kampuni ya uchimbaji na utafutaji madini ya Acacia, umetumia kiasi cha zaidi ya shilingi nusu bilioni kila mwaka, kufadhili mafunzo…

Continue Reading....

Dk. John Magufuli; Sipo Tayari Kutoa Matumaini Hewa

Posted on: September 6, 2015September 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampeni za CCM
Dk. John Magufuli; Sipo Tayari Kutoa Matumaini Hewa

    Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Ifakara wilayani Kilombero kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari