Kutokana na mapitio ya kiuchumi yaliyofanyika na (B.O.T) Benki ya Tanzania, inaonyesha uchumi umeongezeka kutoka 5.1% kwa mwezi Mei mpaka 6.1% mwishoni mwa mwezi Juni…
Continue Reading....Author: jomushi
Jaji Warioba Ainadi CCM Butiama, Asema Imefanya Mengi…!
Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia wakazi wa Butiama ambapo aliwaeleza Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. WAZIRI Mkuu mstaafu Jaji Joseph…
Continue Reading....Serikali ya CCM Kuibadili Bagamoyo Kiuchumi, Kujenga bandari ya Uvuvi
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni za CCM uliohutubiwa na mgombea mwenza wa chama hicho wa nafasi ya urais, Bi. Samia…
Continue Reading....Dk. John Magufuli na Mkutano wa Hadhara Lushoto
Msafara wa Mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli ukiwasilia katika mkutano wa hadhara wa kampeni, Korogwe vijijini. MGOMBEA urais kwa teketi…
Continue Reading....NCCR-Mageuzi Yazinduwa Kampeni za Uchaguzi
Baadhi ya wananchi katika kata ya Kifula ,jimbo la Mwanga wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa chama cha NCCR-Mageuzi. Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi…
Continue Reading....Uchaguzi Mkuu; ZEC Yatakiwa Kushirikiana na NEC
TUME za Uchaguzi katika Jumuia ya Africa Mashariki zimetakiwa kushirikiana na kutoa ushirikiano kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) na Tume ya Uchaguzi Zanziba (ZEC)…
Continue Reading....