Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,225

Author: jomushi

SEMINA, MITIHANI KWA WAAMUZI VYAHAIRISHWA

Posted on: July 29, 2011July 29, 2011 - jomushi
SEMINA, MITIHANI KWA WAAMUZI VYAHAIRISHWA

SEMINA na mitihani ya utimamu wa mwili (Physical Fitness Test) kwa waamuzi wa daraja la II na III iliyopangwa kufanyika Agosti 2 hadi 5 mwaka…

Continue Reading....

UN yapambana na njaa barani Afrika

Posted on: July 29, 2011July 29, 2011 - jomushi
UN yapambana na njaa barani Afrika

NDEGE za Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) zimeanza kupeleka chakula nchini Somalia baada ya ndege ya kwanza kutua mjini Mogadishu jana alasiri.…

Continue Reading....

Bush explains slow 9/11 reaction

Posted on: July 29, 2011July 29, 2011 - jomushi
Bush explains slow 9/11 reaction

LOS ANGELES Former President George W. Bush says his apparent lack of reaction to the first news of the September 11 2001 attacks was a…

Continue Reading....

Wabunge wa Chadema watolewa bungeni

Posted on: July 28, 2011July 28, 2011 - jomushi
Wabunge wa Chadema watolewa bungeni

Askari wa Bunge wakiwasindikiza wabunge wa CHADEMA Tundu Lissu (kulia) , Mchungaji Peter Msigwa (kushoto) na Godbless Lema (wa pili kushoto) kuondoka nje ya viwanja…

Continue Reading....

Fedha za pembejeo zawatokea ‘puani’ maofisa Chato

Posted on: July 28, 2011 - jomushi
Fedha za pembejeo zawatokea ‘puani’ maofisa Chato

Chato, MAOFISA wanne kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Kagera wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kutafuna fedha za pembejeo za kilimo zilizotakiwa kupewa wakulima.…

Continue Reading....

Breaking News: Ajali mbaya Moshi, 11 wafa 22 wajeruhiwa

Posted on: July 28, 2011 - jomushi
Breaking News: Ajali mbaya Moshi, 11 wafa 22 wajeruhiwa

Moshi, Taarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba; ajali mbaya imetokea mjini Moshi katika barabara ya Kibosho ambapo magari takribani manne yamehusika katika ajali hiyo. Kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari