*Benki ya Damu Kanda ya Ziwa Yafurika Michango Na Craig Ferla, Musoma, Mara KUOKOA maisha ya maelfu ya mama zetu na watoto wetu wachanga Tanzania…
Continue Reading....Month: June 2013
Rais Mohammed Mursi Avunja Uhusiano na Damascus
RAIS wa Misri, Mohammed Mursi amekata uhusiano wote wa kidiplomasia na utawala wa mjini Damascus, na kutoa wito wa kuundwa kwa eneo la marufuku ya…
Continue Reading....Iran Yapata Rais Mpya
KIONGOZI wa chama chenye msimamo wa Kimhafidhina nchini Iran, Hassan Rouhani ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais nchini Iran uliofanyika juzi. Wizara ya mambo ya…
Continue Reading....Polisi Yatuma Timu Kuchunguza Bomu Mkutano wa Chadema Arusha
KUFUATIA mlipuko wa bomu uliotokea katika mkutano wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuuwa watu wawili na majeruhi zaidi ya 60 katika mkutano…
Continue Reading....Stars ya Tanzania Yala Kichapo Nyumbani, Yapigwa 4-2 na Ivory Coast
LICHA ya Taifa Stars ya Tanzania kupata goli la mapema zaidi katika mchezo wao wa mechi ya kufuzu kucheza kombe la dunia mwakani nchini Brazil…
Continue Reading....Dk. Hoseah Adai Serikali Imenifunga Mikono
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, amefunguka na kueleza sababu za taasisi yake kushindwa kuwakamata walarushwa wakubwa…
Continue Reading....