UINGEREZA imeahidi kuzijengea uwezo nchi zinazoendelea ili ziweze kutambua thamani ya maliasili zake kwa kuwataka wawekezaji katika nchi hizo kulipa kodi inayostahili, kuweka uwazi katika…
Continue Reading....Month: June 2013
Redd’s Miss Kinondoni Talent 2013 Kufanyika Juni 20
Na Cathbert Angelo, Wa Kajunason Blog SHINDANO la Redd’S Miss Kinondoni Talent 2013 linatarajiwa kufanyika Alhamisi ya Juni 20 katika ukumbi wa Shekinah Garden, Mbezi…
Continue Reading....Timu ya EAC ya Waangalizi wa Uchaguzi Kenya Yaandaa Ripoti
Na Mtuwa Salira, Arusha TIMU ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ya Waangalizi wa Uchaguzi wa Kenya uliomalizika hivi karibuni inakutana mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro…
Continue Reading....Kauli ya Rais Kikwete Juu ya Mlipuko wa Bomu Mkutano wa Chadema
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mfadhaiko, mshituko na huzuni kubwa taarifa za shambulio la mlipuko lililotokea katika mkutano…
Continue Reading....Serikali Yatangaza Kumpa Milioni 100 Atakayemtaja Aliyerusha Bomu Mkutano wa Chadema
SERIKALI Imetoa kiasi cha fedha sh milioni 100 ambacho itamzawadia mtu atakaye mfichua aliyerusha bomu katika mkutano wa kampeni za udiwani za CHADEMA Mkoani Arusha.…
Continue Reading....