Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • August
  • Page 35

Month: August 2011

Tanzania kutoa msaada wa mahindi kwa Somalia

Posted on: August 10, 2011August 10, 2011 - jomushi
Tanzania kutoa msaada wa mahindi kwa Somalia

Tanzania imetangaza kuisaidia Somalia kwa kutoa msaada wa tani 300 za mahindi, ili kuwasaidia kupunguza makali ya ukosefu mkubwa wa chakula unaowakabili kiasi cha wananchi…

Continue Reading....

Kikwete ampokea Rais wa Somalia

Posted on: August 10, 2011August 10, 2011 - jomushi
Kikwete ampokea Rais wa Somalia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jana, Jumanne, Agosti 9, 2011, amempokea mgeni wake, Rais wa Jamhuri ya Somalia, Mheshimiwa…

Continue Reading....

Unataka kuepuka mgao wa Umeme? Mtafute huyu jamaa

Posted on: August 10, 2011August 10, 2011 - admin
Unataka kuepuka mgao wa Umeme? Mtafute huyu jamaa

Continue Reading....

SIDO IRINGA KUTOA MAFUNZO YA USINDIKAJI

Posted on: August 9, 2011August 10, 2011 - jomushi
SIDO IRINGA KUTOA MAFUNZO YA USINDIKAJI

Na William Macha, Iringa SHIRIKA la Kuhudumia Viwanda nchini (SIDO) mkoni Iringa linatarajia kutoa mafunzo ya usindikaji bora bidhaa za chakula hivi karibuni. Akizungumza ofisini…

Continue Reading....

MUVI yaanza kutoa elimu kwa wakulima Njombe

Posted on: August 9, 2011 - jomushi
MUVI yaanza kutoa elimu kwa wakulima Njombe

Na William Macha, Njombe MRADI wa Muunganisho wa Wajasiriamali Vivijini (MUVI) kupitia kitengo chake cha habari umeingia Njombe na kufanikiwa kuzungumza na wajasiriamali wa zao…

Continue Reading....

Naibu Waziri awataka maofisa kilimo ‘kuishi’ vijijini

Posted on: August 9, 2011 - jomushi
Naibu Waziri awataka maofisa kilimo ‘kuishi’ vijijini

Na Janeth Mushi, Arusha MAOFISA ugani na kilimo nchini wametakiwa kuhama maeneo ya mjini na kwenda vijijini ili kuwasaidia wakulima na wafugaji mbinu anuai za…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari