Month: August 2011
Kambi ya mateso yagunduliwa Zimbabwe
IDHAA ya Habari ya BBC (Panorama) imegundua kambi ya mateso inayosimamiwa na Majeshi ya Usalama nchini Zimbabwe, iliyopo katika eneo lenye utajiri wa madini ya…
Continue Reading....Mwanaume aishi na simba wiki 5 banda moja, akisaka ‘noti’
Na Mwandishi Wetu MMILIKI wa banda moja la maonesho ya wanyama wakali akiwemo Simba, Aleksandr Pylyshenko ameamua kujifungia banda moja na Simba kaadhaa anaowamiliki ili…
Continue Reading....Mgomo wa wauza petroli, dizeli waendelea Dar es Salaam
Na Joachim Mushi MGOMO wa kinyemela kwa wauzaji wa mafuta ya petroli na dizeli umeendelea jana mjini Dar es Salaam, ambapo umezua kero kubwa kwa…
Continue Reading....DR. MIGIRO KUZINDUA RIPOTI YA UTAWALA BORA YA APRM
Na Mwandishi Wetu, Dodoma NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, Agosti 10, 2011 anatarajia kuzindua ripoti mpya ya Mpango wa Bara…
Continue Reading....TFF yatupilia mbali pingamizi la Yanga dhidi ya Simba
KAMATI haikusikiliza pingamizi la Yanga dhidi ya Simba kuhusu wachezaji iliyotoa kwa mkopo baada ya kubaini kuwa wachezaji ambao Simba imewatoa kwa mkopo ni wane…
Continue Reading....