Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • July
  • Page 27

Month: July 2011

Kili yaandaa tamasha la Jivunie uTanzania

Posted on: July 12, 2011 - jomushi
Kili yaandaa tamasha la Jivunie uTanzania

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Bw. George Kavishe. Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager…

Continue Reading....

Madiwani Chato wagomea kikao wagawanyika

Posted on: July 12, 2011 - jomushi
Madiwani Chato wagomea kikao wagawanyika

Jengo la Halmashauri ya Chato Chato SAKATA la madiwani katika Halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani Kagera la kugoma kuingia kwenye kikao cha Baraza limeingia…

Continue Reading....

Wafanyabiashara TRC wagoma kulipa ushuru

Posted on: July 12, 2011July 12, 2011 - jomushi
Wafanyabiashara TRC wagoma kulipa ushuru

Mwandishi Wetu, Mpanda WAFANYABIASHARA wanaosafirisha mpunga na mahindi kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC), kituo cha Mpanda wamegoma kulipa ushuru kwa Halmashauri ya Mji huo…

Continue Reading....

Zanzibar yataka itifaki ya utawala bora EAC

Posted on: July 12, 2011 - jomushi
Zanzibar yataka itifaki ya utawala bora EAC

Dk. Ali Mohamed Shein Na Mwandishi wa EANA RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza umuhimu kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki…

Continue Reading....

MICHUANO YA KOMBE LA KAGAME 2011

Posted on: July 12, 2011 - admin
MICHUANO YA KOMBE LA KAGAME 2011

Michuano ya kuwania Kombe la Kagame iliyofanyika nchini kuanzia Juni 25 hadi Julai 10 mwaka huu imekwenda vizuri huku timu za Tanzania, Yanga na Simba…

Continue Reading....

Bunge laipongeza Yanga kutwaa ubingwa wa Kagame

Posted on: July 12, 2011 - jomushi
Bunge laipongeza Yanga kutwaa ubingwa wa Kagame

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeipongeza timu ya soka ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame kwa kuwatandika watani…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari