Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 61

Tag: featured

Serikali Yaivunja Rasmi Tume ya Jaji Jeseph Warioba

Posted on: March 25, 2014March 26, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Joseph Warioba
Serikali Yaivunja Rasmi Tume ya Jaji Jeseph Warioba

RAIS aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Awataka Viongozi Tanga Kusimamia Watoto Shule

Posted on: March 25, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Rais Kikwete Awataka Viongozi Tanga Kusimamia Watoto Shule

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amewataka viongozi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda shule, wana kwenda shule bila kukosa hata kama hawana uwezo wa kumudu…

Continue Reading....

Maisha ya ‘Geto’ Changamoto kwa Wanafunzi Sekondari za Kata Tanga

Posted on: March 25, 2014March 26, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, tanga
Maisha ya ‘Geto’ Changamoto kwa Wanafunzi Sekondari za Kata Tanga

UJENZI wa Sekondari za Kata katika mikoa mbalimbali umesogeza huduma za elimu kwa baadhi ya maeneo. Ipo mikoa ambayo awali ilikuwa na shule chache za…

Continue Reading....

Hotuba ya Rais Kikwete Yaliweka Bunge la Katiba Njiapanda

Posted on: March 24, 2014March 24, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Hotuba ya Rais Kikwete Yaliweka Bunge la Katiba Njiapanda

KWA neno moja unaweza kusema kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na wananchi kwa ujumla wako “njiapanda”. Hii ni baada ya hotuba ya ufunguzi…

Continue Reading....

Mawakala Redio za Jamii Wataja Mafanikio Mradi wa SIDA

Posted on: March 24, 2014March 24, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Mawakala Redio za Jamii Wataja Mafanikio Mradi wa SIDA

Na Mwandishi Wetu, Pangani MAWAKALA wa redio za jamii wanaoshiriki mafunzo mbalimbali yanayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa kushirikiana na Shirika la…

Continue Reading....

Wabunge Bunge la Katiba Wasema JK Hajavuruga Mchakato wa Katiba

Posted on: March 24, 2014March 26, 2014 - jomushi
Post Tags: bunge la katiba, featured
Wabunge Bunge la Katiba Wasema JK Hajavuruga Mchakato wa Katiba

Na Magreth Kinabo – Maelezo, Dodoma   UMOJA wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba la Tanzania Kwanza umesema kuwa hotuba ya Rais, Jakaya Kikwete aliyoitoa wakati…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari