Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 45

Tag: featured

Jabiri Makame Awataka Vijana Kutumia Fursa Zilizowazunguka

Posted on: April 18, 2014April 18, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Jabiri Makame
Jabiri Makame Awataka Vijana Kutumia Fursa Zilizowazunguka

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi VIJANA mkoani Lindi wametakiwa kuacha tabia ya kuilalamika Serikali kuwa maisha ni magumu bali watumie fursa zilizopo katika maeneo yao…

Continue Reading....

Sitta Amwita Bungeni Lukuvi, Aeleze Alichokisema Kuwaudhi UKAWA

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Post Tags: bunge la katiba, featured
Sitta Amwita Bungeni Lukuvi, Aeleze Alichokisema Kuwaudhi UKAWA

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta amemwita katika bunge hilo Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William…

Continue Reading....

You think English is easy?

Posted on: April 17, 2014 - admin
Post Tags: english, featured, lugha ya kiingereza
You think English is easy?

1) The bandage was wound around the wound. 2) The farm was used to produce produce. 3) The dump was so full that it had…

Continue Reading....

Ni Ukosefu wa Adabu Kuwatukana Waasisi wa Tanzania – Rais Kikwete

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Rais Kikwete
Ni Ukosefu wa Adabu Kuwatukana Waasisi wa Tanzania – Rais Kikwete

Na Mwandishi Maalum RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kwa baadhi ya…

Continue Reading....

Kutumia Umeme Si Utajiri – Mama Salma Kikwete

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mama Salma Kikwete
Kutumia Umeme Si Utajiri – Mama Salma Kikwete

Na Anna Nkinda- Maelezo, Lindi WAKAZI wa Kata ya Msinjahili wilayani Lindi wametakiwa kutoogopa kuvuta umeme majumbani mwao kwa hofu kuwa wakifanya hivyo wataonekana ni…

Continue Reading....

Mvua Kubwa Kunyesha Tena Aprili 17-18

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, maafa
Mvua Kubwa Kunyesha Tena Aprili 17-18

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua kubwa zinatarajia kunyesha tena Aprili 17 na 18 katika Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari