Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Escrow

Tag: Escrow

Watuhumiwa Escrow Mahakamani, CCM Kuwajibisha Makada

Posted on: January 15, 2015 - jomushi
Post Tags: CCM, Escrow, Mahakama
Watuhumiwa Escrow Mahakamani, CCM Kuwajibisha Makada

WAKATI Serikali ya Tanzania imeanza kuwafikisha mahakamani baadhi ya maafisa wanaotuhumiwa kuhusika na gawio la fedha kutoka akaunti ya Tegeta ESCROW, Chama tawala nchini humo…

Continue Reading....

Sakata la Escrow; Rais Kikwete Amfukuza Uwaziri Prof Tibaijuka

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Escrow, Prof. Tibaijuka, Rais Kikwete
Sakata la Escrow; Rais Kikwete Amfukuza Uwaziri Prof Tibaijuka

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemfukuza kazia Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kwa kukiuka sheria ya maadili…

Continue Reading....

Bodi ya Shule Iliyopata ‘Mgao wa Escrow’ Yamtetea Prof. Tibaijuka

Posted on: December 10, 2014 - jomushi
Post Tags: Bodi ya Shule Barbro, Escrow, Prof. Tibaijuka
Bodi ya Shule Iliyopata ‘Mgao wa Escrow’ Yamtetea Prof. Tibaijuka

BODI ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust (JOHA TRUST au BARBRO) wamiliki wa shule za Sekondari Bingwa ya Barbro iliyopo jijini…

Continue Reading....

Wanachuo St. Joseph Waenda kwa Pinda Kudai Mgao wa Escrow

Posted on: December 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Escrow, St. Joseph, Wamfuata Pinda
Wanachuo St. Joseph Waenda kwa Pinda Kudai Mgao wa Escrow

BAADHI ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Yosef (St. Joseph University In Tanzania-SJUIT, Dar) wameibuka katika maandamano ya kushtukiza na kwenda hadi Ofisi ya…

Continue Reading....

Kashfa ya Escrow Yawagawa Wabunge Dodoma…!

Posted on: November 27, 2014November 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Escrow, Wabunge Dodoma, Yawagawa
Kashfa ya Escrow Yawagawa Wabunge Dodoma…!

TUHUMA za uchotwaji wa fedha kiasi cha bilioni 306 zinazodaiwa kuwa za Serikali katika akaunti ya Tegeta Escrow imewagawa wabunge katika mjadala unaoendelea bungeni wa…

Continue Reading....

Serikali Yaanza Kujibu ‘Escrow’ Bungeni, Yadai PAC Imedanganya…!

Posted on: November 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Bungeni, Escrow, Kamati ya PAC, serikali
Serikali Yaanza Kujibu ‘Escrow’ Bungeni, Yadai PAC Imedanganya…!

SERIKALI imeanza kujibu hoja za tuhuma za uwepo wa uchotwaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow takribani sh. bilioni 306 zinazodaiwa kuchotwa na watu…

Continue Reading....
thehabari