Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam HADI pambano la ngao ya hisani kati ya Simba na Yanga linalofanyika katika uwanja wa taifa Dar es Salaam matokeo ni kwamba, Simba inaongoza kwa mabao mawili kwa bila (2-0). Haruna Moshi ndiye wa kwanza kuifungia Simba katika dakika ya 16 huku Felix Sunzu akiongeza goli la pili katika dakika 38. Mpira sasa ni …
Bidhaa mbalimbali zitokanazo na zao la mhogo
Maandalizi ya awali ya zao la mhogo kabla ya kutumika kutoa bidhaa anuai za chakula. Miongoni mwa bidhaa zitokanazo na mhogo-hizi ni biskuti na tambi. Pichani ni Bi. Asumpta Mihanjo wa Songea akiwa ameshika kifaa kinachotengeneza bidhaa hizo. Mkurugenzi wa kikundi cha Iman (Imani group) akinadi bidhaa mbalimbali zinazo tokana na zao la mhogo ambazo zinatengenezwa na kikundi hicho, kikundi …
Wakili asomewa mashtaka akiwa amelazwa hospitalini
Na Janeth Mushi, Arusha MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Arusha, jana amemsomea mashitaka 13 ya uhujumu uchumi wa nchi kwa kughushi nyaraka na kujipatia fedha zaidi ya sh. bilioni 18 Wakili maarufu jijini hapa, Medium Mwale akiwa katika hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru ambako amelazwa kwa matibabu. Akisoma mashitaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi wa …
Maofisa wastaafu wa JWTZ waagwa Dar es Salaam
Maafisa wa Jeshi la wananchi wa Tanzania Jeshi la Kujenga Taifa wakiwasukuma gari maalum kwa ajili Mameja Jenerali wastaafu wa Jeshi hilo mara baada ya gwaride rasmi la kuwaaga jana katika Kambi ya Abdallah Twalipo jijini Dar es salaam. Kulia ni Meja Jenerali (mstaafu) Yodan Mtaluma Koyi na Meja Jenerali(mstaafu) Salim Suleiman. Mkuu wa Jeshi la Wananchi na Jeshi la …
Robin van Persie nahodha mpya Arsenal
MSHAMBULIAJI wa Arsenal Robin van Persie amethibitishwa kuwa nahodha mpya wa klabu hiyo. Mshambuliaji huyo (28) anayechezea pia timu ya taifa ya Uholanzi, amekuwa katika klabu ya Arsenal tangu Mei, 2004 na anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Cesc Fabregas, aliyehamia klabu ya Barcelona wiki hii. Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amesema; “Van Persie ni kiongozi kutokana na uchezaji wake, kutokana …
Gervinho wa Arsenal afungiwa mechi tatu
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gervinho Kouassi amefungiwa mechi tatu kufuatia kutolewa nje kwa kadi nyekundu katika mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya soka ya England msimu huu dhidi ya Newcastle. Gervinho alitolewa baada ya kushikana mashati na Joey Barton, ambapo kiungo huyo wa Newcastle alianguka uwanjani. Arsenal walikata rufaa kupinga kufungiwa kwa mechi tatu kutokana na sheria zinavyosema mchezaji akioneshwa …