Angela Merkel ni mwanamke mwenye nguvu duniani

JARIDA la Forbes limemtaja Kansela wa Ujerumani Angela Merkel kuwa mwanamke mwenye nguvu kubwa duniani. Jarida hilo limemuelezea Bi. Merkel kuwa kiongozi asiyetiliwa shaka wa Umoja wa Ulaya na ni kiongozi wa uchumi halisi duniani. Waziri wa mambo ya nchi za kigeni wa Marekani, Hillary Clinton, ameorodheshwa wa pili, akifuatiwa na rais wa kwanza mwanamke wa Brazil, Dilma Rousseff, katika …

Watu 7 wauwawa Syria, ukandamizaji raia waendelea

WANAHARAKATI wa kutetea haki za binadamu nchini Syria wanasema maofisa wa vikosi vya usalama wamewaua watu saba, akiwemo mwanamke mmoja aliyekufa kutokana na mateso. Watu wanne waliuwawa katika Mji wa Homs katikati ya Syria na waandamanaji wawili wakauwawa katika kitongoji cha Talbisseh, Kaskazini mwa mji huo. Zaidi ya watu 150 wamekamatwa katika saa 24 zilizopita kwenye kitongoji kimoja cha Mji …

Umoja wa Ulaya kuisaidia Libya matibabu

UMOJA wa Ulaya umesema uko tayari kupeleka msaada wa matibabu nchini Libya. Utapeleka mahitaji yanayotakika kwa dharura katika hospitali nchini humo, kuwasaidia raia wengi waliojeruhiwa katika vita. Shirika la misaada la Medicins Sans Frontiers limesema hali katika hospitali za mji mkuu Tripoli inakaribia kuwa balaa, kwa kuwa mahitaji yamepungua mno wakati wa mapigano ya miezi sita. Kamishna wa Umoja wa …

Bunge lamng’ang’ania Jairo, launda tume kumchunguza umpya

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SIKU moja baada ya Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo kumrejesha kazini, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo mambo yamegeuka bungeni na sasa bunge limetamka kuunda tume ya kuchunguza zaidi tuhuma dhidi ya Jairo. Alieanza kuonesha hali ya kutoridhika kwa hatua hiyo alikuwa ni Mbunge Kabwe Zitto wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, ambaye leo …

Keynote speech by Dr. Kikwete, to the launching the 6TH Commonwealth Telecommunications Organization

KEYNOTE SPEECH BY HIS EXCELLENCY DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE, THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ON THE OCCASION OF LAUNCHING THE 6TH COMMONWEALTH TELECOMMUNICATIONS ORGANIZATION – CONNECTING RURAL COMMUNITIES AFRICA FORUM HELD FROM 24 -26 AUGUST, 2011 AT KILIMANJARO HYATT REGENCY HOTEL, DAR ES SALAAM, TANZANIA Hon. Professor Makame Mbarawa, Minister of Communication, Science and Technology of the …