Ikulu yatolea maelezo sakata la Jairo

TAARIFA YA UFAFANUZI Tarehe 21 Julai, mwaka huu, 2011, Katibu Mkuu Kiongozi Bwana Phillemon Luhanjo, akitumia madaraka yake ya Mamlaka ya Nidhamu ya Watumishi wa Umma, alitangaza hatua ya kumpa likizo ya malipo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishatai na Madini, Bwana David Kitundu Jairo, ili kupisha uchunguzi aliokuwa ameuagiza ufanyike dhidi yake. Bwana Luhanjo alichukua hatua ya kumsimamisha Bw. …

UN yashambuliwa kwa mabomu Nigeria

MWANDISHI wa BBC Bashir Sa’ad Abdullahi ambaye yupo katika eneo la mlipuko amesema ghorofa ya chini ya jengo hilo imeharibika sana. Huduma za dharura zinaondoa miili ya watu kutoka katika jengo hilo huku majeruhi wengine wakipelekwa hospitali, anasema mwandishi wetu. Makundi ya wanamgambo wa Kiislam wamekuwa wakifanya mashambulio katika jiji hilo katika siku za hivi karibuni. Bomu la kutegwa ndani …

Maonesho ya sita ya wajasiriamali wadogo Kanda ya Kusini

MAONESHO ya wajasiriamali wadogo na wakati katika sekta ya Viwanda yanayoratibiwa na Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) Kanda ya Kusini kufanyika mkoani Ruvuma mwaka 2011. Hayo yamesemwa hivi karibuni na Kaimu Meneja wa  SIDO, Mkoa wa Ruvuma Bw. Athur Ndedya. Bw. Ndedya akizungumza na wanahabari alisema “SIDO imekuwa utaratibu wa kuandaa maonesho ya wajasiriamali kikanda kila mwaka. Maonesho haya …

Duchess of Alba Will Marry Again at the Age of 85

85-year-old Duchess of Alba is one of the Spain’s richest women. Her wealth is estimated to be 1-3 billion dollars. She owns dozens of castles, etc. Now she decided to marry her boyfriend, 61-year-old civil servant Alfonso Diez. The bride is sure that the man loves her and not her money, so she will give up everything before the marriage …

Madaktari: Tiba ya Babu imeleta maafa

  Chama cha Madaktari nchini (MAT) kimesema tiba inayotolewa na Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapila, kwa njia ya kikombe kwa ajili ya kutibu magonjwa sugu, imeleta maafa makubwa kwa wagonjwa. Makamu wa Rais wa MAT, Dk. Primus Saidia, alitoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana suala zima la magonjwa yasiyoambukiza …