MUVI yang’ara Maonesho ya Wajasiriamali
Na Dunstan Mhilu MUUNGANISHO wa Ujasiriamali Vijijini (MUVI) umefanikiwa kufanya vizuri katika Maonesho ya wajasiriamali wadogo na wakati Kanda ya Kusini yaliyokuwa yakifanyika hivi karibuni wilayani Mbinga, kwenye viwanja vya CCM. Banda la MUVI lilionekana kusheheni kila aina ya vipeperushi vilivyokuwa vimeandaliwa kwa ajili yakutoa elimu kwa wajasiriamali hususani wa zao la muhogo na alizeti waishio Mkoa wa Ruvuma. Vipeperushi …
Tanzania isikubali misaada yenye masharti magumu-Wanaharakati
Na Joyce Ngowi MWANAHARAKATI wa Kimataifa kutoka nchini Ghana, Profesa Dzodzi Tsikata ameishauri Serikali ya Tanzania kuacha utegemezi wa misaada midogo yenye masharti magumu na badala yake kuangalia namna nzuri ya kutatua matatizo ya raia wake kwa manufaa ya Taifa zima. Prof. Tsikata ametoa changamoto hiyo leo jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) alipokuwa …
‘Ndugu zangu 32 walikufa nikiwaona’
Zanzibar MAHARUSI watarajiwa, waliokuwa wakienda kufunga ndoa katika Kisiwa cha Pemba mjini Zanzibar, ni miongoni mwa watu ambao wanasadikiwa kuwa miili yao imenasa katika meli hiyo. Mpaka sasa miili ya watu 240 waliofariki katika ajali hiyo ya meli ya Spice Islender iliyotokea katika eneo la Nungwi, Unguja mwishoni mwa wiki iliyopita, wamepatikana na kuzikwa. Imeelezwa kuwa watarajiwa hao walikuwa wameongozana …
Hizi ndizo faida za kusomesha watoto wa kike
Na HakiElimu JIULIZE, kati ya mwanaume na mwanamke aliyesoma; ni nani huwakumbuka wazazi wake zaidi? Ni nani hajali watoto na familia yake zaidi? Ni nani hurudi kijiji kwao mara kwa mara? Ni nani mwaminifu wa kipato chake? Ni nani hujali afya ya uzazi na malezi zaidi? Majibu ya maswali haya ndiyo sehemu ya mjadala wa leo kuhusu faida za kusomesha …