What Happened to This Young Woman?

Nguyen Thi Phuong is 26 years old, after a bad reaction to seafood she has become an old woman. Following a reaction in 2008 to seafood and then subsequent medications her skin began to wrinkle and sag, turning her into a 70-year-old grandmother.

Mapacha 3, Msondo kuwasindikiza T-Moto kwenye uzinduzi

Na Mwandishi Wetu BENDI inayoendelea kufanya vizuri katika jukwaa la muziki wa dansi nchini, Mapacha Watatu na Bendi Kongwe nchini, Msondo Ngoma zimeandaa shoo maalum kwa ajili ya kuwasindikiza wenzao kundi jipya la Taarab la Tanzania Modern Taab (T-Moto) ‘Real Madrid’ katika uzinduzi wa kundi hilo utakaofanyika Oktoba 28 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Akizungumza na Sufianimafoto, Mkurugenzi wa kundi …

Nape ‘aunguruma’, asema CCM si chaka la mafisadi

*Asema hatishiki kusimamia haki Katibu wa NEC ya CCM wa Itikadi na uenezi, Nape Nnauye amesema CCM sio kichaka cha kujifichia mafisadi na viongozi wabovu na wabadhilifu na kwamba wanaodhani watafanikiwa kukigeuza chama hicho kichaka wanajidanganya. Bwana Nape aliyasema hayo jijini Mwanza leo wakati akihutubia mkutano mkubwa na wa aina yake kwenye viwanja vya Igoma Sokoni ulioandaliwa na Chama hicho …

Kaimu RPC Arusha awafukuza wanahabari

Janeth Mushi, Arusha KATIKA hali isiokuwa ya kawaida Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, Akili Mpwapwa leo amewatimuwa waandishi wa habari waliokuwa nje ya Ofisi Kuu ya Jeshi hilo mkoani Arusha. Kaimu huyo alifikia hatua hiyo jana mchana wakati waandishi walipokuwa wakisubiri hatma ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoani hapa, James …

Taifa Stars kuingia kambini dhidi ya Chad

Na Mwandishi Wetu TAIFA Stars inatarajia kuingia kambini Novemba 3 mwaka huu kujiandaa kwa mechi ya kwanza ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Chad itakayofanyika Novemba 11 mwaka huu jijini N’Djamena. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisa Habari wa TFF leo mjini Dar es salaam, Boniface Wambura amesema wachezaji watakaoitwa Stars wanatakiwa kuripoti kambini ndani ya muda …

TFF yatatua utata wa uuzwaji Small Kids

KAMATI ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeketi Oktoba 16 mwaka huu pamoja na mambo mengine kutolea uamuzi utata uliojitokeza na kukwamisha mechi ya Ligi Daraja la Kwanza kati ya Polisi Iringa na Small Kids ya Mpanda, Rukwa iliyokuwa ichezwe Oktoba 15 mwaka huu Uwanja wa Kumbukumbu ya Samora mjini Iringa. Utata huo ulisababishwa na uuzwaji …