Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete na ujumbe wa serikali yake umekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Chama cha Wananchi (CUF) ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Machano Khamis Ally kuhusu namna ya kuboresha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Mwaka 2011. Mkutano huo umefanyika asubuhi ya Desemba 2, 2011, Ikulu, mjini …
Ethiopia, Djibouti na Somalia zaaga mashindano ya Tusker
Na Mwandishi Wetu TIMU za Somalia, Djibouti na Ethiopia leo zimeyaanga rasmi mashindano ya Kombe la Tusker Chalenji jijini Dar es Salaam yanayofanyika katika Uwanja wa Taifa nchini Tanzania Somalia imekuwa ya kwanza kuaga mashindano hayo baada ya kufungwa michezo yote kwa jumla ya magoli 11. Timu za Djibouti yenyewe imeyaanga mashindano ya Tusker baada ya kukubali kichapo cha magoli …
President Kikwete and Former US President Bush in a tele conference
President Kikwete and First Lady Salma Kikwete with former US President George W. Bush with his wife Laura Bush visit one of the wards at the Ocean Road Cancer Institute where they talk to one of the patients of pelvic cancer. Photos Courtesy of State House President Kikwete and Former US President Bush at the Ocean Road Cancer Institute where …
Mr. Ebbo kuzikwa Jumatatu ‘Masai Camp’ Arusha
Na Janeth Mushi, Arusha MWIMBAJI maarufu wa miondoko ya bongo fleva kwa ‘tune’ na staili ya Kimasai, Abel Rusheraa Motika, almaarufu – Mr Ebbo aliefariki dunia jana saa nne usiku mkoani Arusha anatarajiwa kuzikwa Jumatatu kwa wazazi wake eneo la Masai Camp. Akizungumza na gazeti hili leo mjini hapa Alois Loshila Motika ambaye ni kaka mkubwa wa Mr. Ebbo amesema …
Wachezaji 1,200 watoto kushiriki tamasha
Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI mpira wa miguu (wasichana na wavulana) wenye umri kuanzia miaka 6-12 kutoka Mkoa wa Dar es Salaam watashiriki katika tamasha (festival) litakalofanyika Desemba 17 mwaka huu Uwanja wa Taifa. Akitoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari leo Dar es Salaam, Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Boniface Wambura amesema tamasha hilo litatanguliwa …
STATEMENT BY DK. JAKAYA KIKWETE, PRESIDENT OF TANZANIA ON THE WORLD AIDS DAY, 1ST DECEMBER, 2011, DAR ES SALAAM
The Honourable and Mrs. George Walker Bush; President Bill Clinton (who has joined us today from Washington D.C via Satellite Link; Distinguished Guests Who are Here in Dar es Salaam and Washington D.C.; Ladies and gentlemen: FOUR years ago during your historical state visit to Tanzania you had an opportunity to visit the Amana Hospital where you were able to …