Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Vijijini
  • Page 22

Category: Habari za Vijijini

Mbunge Awaomba Wapiga Kura Wake Kumvumilia Juu ya Ahadi za Maji

Posted on: July 19, 2013July 19, 2013 - jomushi
Mbunge Awaomba Wapiga Kura Wake Kumvumilia Juu ya Ahadi za Maji

Na Joachim Mushi, Aliyekuwa Kishapu MBUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Seleiman Nchambi amewaomba wapiga kura wake kuwa wavumilivu juu…

Continue Reading....

TGNP yakabidhi Vifaa vya Mawasiliano Vituo vya Taarifa na Maarifa

Posted on: June 24, 2013 - jomushi
TGNP yakabidhi Vifaa vya Mawasiliano Vituo vya Taarifa na Maarifa

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), umepanua wigo wa mawasiliano kwa makundi ya pembezoni hasa wanwake kwa kuwapatia vifaa vya teknolojia ya habari na Mawasiano (TEHAMA)…

Continue Reading....

Rombo Waomba Elimu na Wataalam wa Homa ya Nguruwe

Posted on: June 20, 2013June 20, 2013 - jomushi
Rombo Waomba Elimu na Wataalam wa Homa ya Nguruwe

Na Mwandishi Wetu, Rombo SIKU chache baada ya kuripotiwa kuwepo kwa ugonjwa wa homa ya nguruwe wilayani Rombo, baadhi ya wakazi wa wilaya hiyo wameiomba…

Continue Reading....

TGNP Yaendesha Warsha Mbeya Juu ya Namna ya Kuanzisha na Kutumia Vituo vya Taaifa na Maarifa

Posted on: May 29, 2013 - jomushi
TGNP Yaendesha Warsha Mbeya Juu ya Namna ya Kuanzisha na Kutumia Vituo vya Taaifa na Maarifa

Na Pendo Omary, Mbeya Vijijini MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeendesha warsha ya siku mbili kuhusu namna ya kuanzisha na kutumia vituo vya taarifa na…

Continue Reading....

Shule za Kata Zajiendesha kwa Fedha za Walimu Wakuu

Posted on: May 23, 2013 - jomushi
Shule za Kata Zajiendesha kwa Fedha za Walimu Wakuu

Na dev.kisakuzi.com, Rombo CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), Wilaya ya Rombo kimesema shule nyingi za Sekondari za Kata wilaya hiyo na maeneo mengine nchini zinajiendesha kwa…

Continue Reading....

Wilaya ya Rombo Kutumia Nyuki Kupambana na Tembo Wavamizi

Posted on: May 14, 2013May 16, 2013 - jomushi
Wilaya ya Rombo Kutumia Nyuki Kupambana na Tembo Wavamizi

Na dev.kisakuzi.com, Rombo HALMASHAURI ya Wilaya ya Rombo imeanza mipango ya kutumia ufugaji wa nyuki kukabiliana na tembo waharibifu ambao mara kadhaa huvamia baadhi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari