Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 974

Category: Habari za Nyumbani

Viongozi Iringa vijijini wamulikwe kwa kuhatarisha amani

Posted on: May 3, 2012May 3, 2012 - jomushi
Viongozi Iringa vijijini wamulikwe kwa kuhatarisha amani

Na Mwandishi Wetu SERIKALI inapaswa kuchukua hatua za haraka kuelekeza viongozi wa vijiji nchini taratibu za kushughulikia migogoro ya kisheria ili kuepusha viongozi kujichukulia hatua…

Continue Reading....

Kulisuka upya Baraza la Mawaziri suluhisho la muda

Posted on: May 2, 2012May 2, 2012 - Rungwe Jr.
Kulisuka upya Baraza la Mawaziri suluhisho la muda

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi imemwelekeza Rais Jakaya Kikwete “kusuka upya” Baraza la Mawaziri, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi. Hayo hayakuwa matazamio ya…

Continue Reading....

JK apongeza wabunge kuwasulubu mawaziri

Posted on: May 2, 2012 - Rungwe Jr.
JK apongeza wabunge kuwasulubu mawaziri

Rais Jakaya Kikwete amesema hakusikitishwa wala kufedheheshwa na mjadala wa wabunge wakati wa Mkutano wa Saba wa Bunge uliotoa mapendekezo kwa mawaziri ambao wizara zao…

Continue Reading....

Feri ya zama India watu 103 wafariki

Posted on: May 2, 2012May 2, 2012 - jomushi
Feri ya zama India watu 103 wafariki

Takriban watu 103 wanahofiwa kufariki baada ya feri walimokuwa wakisafiria kugongwa na dhoruba Kaskazini Mashariki mwa India. Polisi wamethibitisha taarifa hiyo. Taarifa zinasema kuwa feri…

Continue Reading....

UBADHIRIFU,WIZI WA MALI ZA UMMA KIKWAZO CHA SERIKALI KUONGEZA MISHAHARA YA WAFANYAKAZI.

Posted on: May 2, 2012May 2, 2012 - jomushi
UBADHIRIFU,WIZI WA MALI ZA UMMA KIKWAZO CHA SERIKALI KUONGEZA MISHAHARA YA WAFANYAKAZI.

VITENDO vya ubadhirifu wa mali za umma,ufisadi na wizi kwa baadhi ya watumishi na viongozi ni moja ya sababu inayoifanya serikali kukosa mapato na hivyo…

Continue Reading....

Wafanyakazi walizwa na Mishahara duni Mei day-Tanga

Posted on: May 2, 2012 - jomushi
Wafanyakazi walizwa na Mishahara duni Mei day-Tanga

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki kuimba wimbo wa wafanyakazi akiwa kashikana mikono na Rais wa Jumuiya ya Vyama vya wafanyakazi (TUCTA) Mh, Waziri wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari