Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 966

Category: Habari za Nyumbani

Wizara ya Afya Zanzibar yaeleza mchakato wa kusaka hospitali ya rufaa

Posted on: May 10, 2012May 10, 2012 - jomushi
Wizara ya Afya Zanzibar yaeleza mchakato wa kusaka hospitali ya rufaa

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar WIZARA ya Afya imeeleza hatua zilizofikiwa na zinazoendelea kuchukuliwa katika kutekeleza azma ya kuifanya hospitali kuu ya Mnazi Mmoja kuwa…

Continue Reading....

Yahitajika mikakati ya kuepuka ndoa za kitapeli

Posted on: May 10, 2012May 11, 2012 - jomushi
Yahitajika mikakati ya kuepuka ndoa za kitapeli

Na Mwandishi Wetu VIONGOZI wa makanisa wanapaswa kubuni mbinu za kubaini waumini walio katika ndoa ambao wanadanganya na kufunga ndoa nyingine kwa siri, hali inayohatarisha…

Continue Reading....

Tanzania yaihitaji muda kunufaika na Mtangamano wa EAC-Makinda

Posted on: May 10, 2012 - jomushi
Tanzania yaihitaji muda kunufaika na Mtangamano wa EAC-Makinda

Na James Gashumba, EANA-Kigali SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amesema Tanzania inahitaji muda zaidi wa kujipanga ili kujikita kikamilifu katika mtangamano wa Jumuiya…

Continue Reading....

Mkuki na Nyota Wazindua Kitabu cha Kemia cha Kiswahili

Posted on: May 9, 2012 - jomushi
Mkuki na Nyota Wazindua Kitabu cha Kemia cha Kiswahili

Na Joachim Mushi KAMPUNI ya Uchapishaji wa Vitabu na machapisho anuai kwa mara ya kwanza imezindua kitabu cha somo la Kemia kilichochapishwa kwa lugha nyepesi…

Continue Reading....

Uhaba wa madarasa kero kwa wanafunzi na walimu Namtumbo

Posted on: May 9, 2012May 9, 2012 - jomushi
Uhaba wa madarasa kero kwa wanafunzi na walimu Namtumbo

Na Vicent Mnyanyika, HakiElimu-Namtumbo UHABA wa vyumba vya madarasa ni moja ya changamoto kubwa inayoikabili sekta ya elimu Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma hali inayosababisha…

Continue Reading....

Manispaa ya Musoma kufikishwa Mahakamani

Posted on: May 9, 2012 - jomushi
Manispaa ya Musoma kufikishwa Mahakamani

Na Shomari Binda wa Binda News-Musoma WANANCHI wa Kata ya Bweri katika eneo la Rwamlimi wamekusudia kuifikisha Mahakamani Halimashauri ya Manispaa ya Musoma kwa kile…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari