Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 658

Category: Habari za Nyumbani

Watumiaji Kiswahili Nchini Japan Wazidi Kuongezeka

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Watumiaji Kiswahili Nchini Japan Wazidi Kuongezeka

Na Anna Nkinda – Yokohama WATUMIAJI wa lugha ya Kiswahili wamezidi kuongezeka nchini Japani hadi kufikia hatua ya kuwa na mshindano kwa wanafunzi wa chuo kikuu…

Continue Reading....

Sekondari za Kata Mzigo Mpya kwa Wakuu wa Shule

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Sekondari za Kata Mzigo Mpya kwa Wakuu wa Shule

Na Thehabari, Rombo KUANZISHWA kwa Sekondari za Kata maeneo mbalimbali nchini kulikuwa na matumaini makubwa kwa wananchi. Maeneo mengi uitikio wa wananchi umekuwa mkubwa na…

Continue Reading....

Maadhimisho ya ‘Comunio’ Kanisa St. Joseph Dar Jana

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Maadhimisho ya ‘Comunio’ Kanisa St. Joseph Dar Jana

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo jana aliongoza ibada maalumu ya kutoa daraja la ‘comunio’ kwa takribani…

Continue Reading....

Tume ya Pinda Yaibua Madudu Yanayozorotesha Elimu

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Tume ya Pinda Yaibua Madudu Yanayozorotesha Elimu

TUME ya Kuchunguza Matokeo ya Kidato cha Nne iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda imebaini zaidi ya matatizo 20 yanayozorotesha kiwango cha elimu na hata…

Continue Reading....

Mwelekeo wa Tanzania Mpya Kujulikana Leo Dar

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Mwelekeo wa Tanzania Mpya Kujulikana Leo Dar

MWELEKEO wa Taifa la Tanzania utaanza kujulikana leo mchana Tume ya Mabadiliko ya Katiba itakapozindua rasimu ya Katiba Mpya kwenye tukio la kihistoria litakalofanyika kwenye…

Continue Reading....

Rais Kikwete: Tumeanza Kukomesha Aibu ya Mauaji ya Albino

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Rais Kikwete: Tumeanza Kukomesha Aibu ya Mauaji ya Albino

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amelaani kwa mara nyingine vitendo “vya aibu” vya mauaji ya albino kwa sababu za kishirikina,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari