Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 652

Category: Habari za Nyumbani

Serikali Yahimiza Umezaji wa Dawa za Mabusha na Matende

Posted on: June 12, 2013 - jomushi
Serikali Yahimiza Umezaji wa Dawa za Mabusha na Matende

Hussein Makame – MAELEZO SERIKALI imewaomba wananchi wa mikoa ya Dar es Salaam na Mwanza wenye umri kuanzia miaka mitano na kuendelea kujitokeza kwa wingi…

Continue Reading....

Kampuni ya Bia ya Serengeti Yaahidi Kuendelea Kudhamini Tamasha la Bulabo

Posted on: June 11, 2013June 11, 2013 - jomushi
Kampuni ya Bia ya Serengeti Yaahidi Kuendelea Kudhamini Tamasha la Bulabo

KWA shangwe kubwa maelfu ya wakazi wa Wilaya ya Magu jijini Mwanza wamekuwa wakishuhudia burudani ya ngoma za asili za kabila la wasukuma ’Bulabo’ ambalo…

Continue Reading....

Hatimaye Wilfred Rwakatare Aachiwa kwa Dhamana, Mwenzake Aendelea Kusota

Posted on: June 11, 2013 - jomushi
Hatimaye Wilfred Rwakatare Aachiwa kwa Dhamana, Mwenzake Aendelea Kusota

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam, imemwachilia kwa dhamana Mkurugenzi wa Kitengo cha Ulinzi na Usalama cha Chama cha Demokrasia…

Continue Reading....

CCM Sasa Kuijadili Rasimu ya Katiba Ndani ya Chama

Posted on: June 11, 2013 - jomushi
CCM Sasa Kuijadili Rasimu ya Katiba Ndani ya Chama

KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana Juni 10, 2013 chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.…

Continue Reading....

Dhamana ya Wilfred Rwakatare, Ludovick Rweikiza Sasa Huru

Posted on: June 11, 2013June 12, 2013 - jomushi
Dhamana ya Wilfred Rwakatare, Ludovick Rweikiza Sasa Huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam, imefungua dhamana ya Mkurugenzi wa Kitengo cha Ulinzi na Usalama cha Chama cha Demokrasia na…

Continue Reading....

Marekani Yataja Sababu Nne za Obama Kuja Tanzania

Posted on: June 11, 2013 - jomushi
Marekani Yataja Sababu Nne za Obama Kuja Tanzania

MAREKANI imetaja sababu nne ambazo zimemfanya Rais Barrack Obama kuijumuisha Tanzania katika ziara yake ya Bara la Afrika. Rais Obama amepanga kulitembelea bara la Afrika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari