Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 649

Category: Habari za Nyumbani

Dk. Hoseah Adai Serikali Imenifunga Mikono

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Dk. Hoseah Adai Serikali Imenifunga Mikono

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, amefunguka na kueleza sababu za taasisi yake kushindwa kuwakamata walarushwa wakubwa…

Continue Reading....

Ugaidi Tena Arusha, Bomu Lalipuka Lajeruhi na Kuua

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Ugaidi Tena Arusha, Bomu Lalipuka Lajeruhi na Kuua

MKUTANO wa Chadema wa kumaliza kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani mjini Arusha, jana ulivunjika baada ya bomu kulipuka na kuua watu wanne na wengine…

Continue Reading....

Ukosefu wa Elimu ya Biashara Wawakwaza Wanawake EAC

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Ukosefu wa Elimu ya Biashara Wawakwaza Wanawake EAC

Na Baltazar Nduwayezu, EANA UFAHAMU wa mfumo wa biashara na sheria za forodha ni mahitaji muhimu kwa wafanyabiashara wanawake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…

Continue Reading....

Nape Awapongeza Arusha kwa Kuitosa Chadema

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Nape Awapongeza Arusha kwa Kuitosa Chadema

*Atamba CCM kuzoa kata zote KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndg.Nape Nnauye amewataka wananchi kwenye kata zinazofanya uchaguzi mdogo kesho kupuuza alivyoviita vitimbi…

Continue Reading....

Edward Lowassa Atangaza Ndoto Yake…!

Posted on: June 15, 2013 - jomushi
Edward Lowassa Atangaza Ndoto Yake…!

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema kuwa ana ndoto kwamba siku moja sekta ya elimu itapewa kipaumbele cha kwanza nchini na kuzikomboa rasilimali za…

Continue Reading....

Bajeti Vilio Kila Kona, wananchi waikosoa

Posted on: June 15, 2013 - jomushi
Bajeti Vilio Kila Kona, wananchi waikosoa

WATU wengi walikosoa upandishaji wa kodi na ushuru wa bidhaa na huduma kwamba utawadidimiza walalahoi. Bajeti ya 2013/14 iliyotangazwa bungeni juzi na Serikali, imesababisha malalamiko…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari