Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 648

Category: Habari za Nyumbani

Timu ya EAC ya Waangalizi wa Uchaguzi Kenya Yaandaa Ripoti

Posted on: June 17, 2013 - jomushi
Timu ya EAC ya Waangalizi wa Uchaguzi Kenya Yaandaa Ripoti

Na Mtuwa Salira, Arusha TIMU ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ya Waangalizi wa Uchaguzi wa Kenya uliomalizika hivi karibuni inakutana mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro…

Continue Reading....

Kauli ya Rais Kikwete Juu ya Mlipuko wa Bomu Mkutano wa Chadema

Posted on: June 17, 2013 - jomushi
Kauli ya Rais Kikwete Juu ya Mlipuko wa Bomu Mkutano wa Chadema

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mfadhaiko, mshituko na huzuni kubwa taarifa za shambulio la mlipuko lililotokea katika mkutano…

Continue Reading....

Serikali Yatangaza Kumpa Milioni 100 Atakayemtaja Aliyerusha Bomu Mkutano wa Chadema

Posted on: June 17, 2013 - jomushi
Serikali Yatangaza Kumpa Milioni 100 Atakayemtaja Aliyerusha Bomu Mkutano wa Chadema

SERIKALI Imetoa kiasi cha fedha sh milioni 100 ambacho itamzawadia mtu atakaye mfichua aliyerusha bomu katika mkutano wa kampeni za udiwani za CHADEMA Mkoani Arusha.…

Continue Reading....

Mara Waitikia Wito Siku ya Mchangiaji Damu Duniani

Posted on: June 17, 2013 - jomushi
Mara Waitikia Wito Siku ya Mchangiaji Damu Duniani

*Benki ya Damu Kanda ya Ziwa Yafurika Michango Na Craig Ferla, Musoma, Mara KUOKOA maisha ya maelfu ya mama zetu na watoto wetu wachanga Tanzania…

Continue Reading....

Polisi Yatuma Timu Kuchunguza Bomu Mkutano wa Chadema Arusha

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Polisi Yatuma Timu Kuchunguza Bomu Mkutano wa Chadema Arusha

KUFUATIA mlipuko wa bomu uliotokea katika mkutano wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuuwa watu wawili na majeruhi zaidi ya 60 katika mkutano…

Continue Reading....

Stars ya Tanzania Yala Kichapo Nyumbani, Yapigwa 4-2 na Ivory Coast

Posted on: June 16, 2013June 17, 2013 - jomushi
Stars ya Tanzania Yala Kichapo Nyumbani, Yapigwa 4-2 na Ivory Coast

LICHA ya Taifa Stars ya Tanzania kupata goli la mapema zaidi katika mchezo wao wa mechi ya kufuzu kucheza kombe la dunia mwakani nchini Brazil…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari