Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 645

Category: Habari za Nyumbani

EOTF Kutoa Mafunzo kwa Wajasiliamali

Posted on: June 21, 2013 - jomushi
EOTF Kutoa Mafunzo kwa Wajasiliamali

Na Magreth Kinabo – Maelezo JUMLA ya wajasiliamali wapatao 250 kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani watapatiwa mafunzo ya elimu ya ujasiriamali, uzalishaji…

Continue Reading....

Wanaharakati Waichambua Bajeti Mpya ya Serikali

Posted on: June 21, 2013 - jomushi
Wanaharakati Waichambua Bajeti Mpya ya Serikali

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na wanaharakati ngazi ya jamii kutoka mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya, Morogoro, Pwani, Shinyanga na wadau wengi…

Continue Reading....

Kumbi za Video Vijijini Zinavyo Waathiri Wanafunzi

Posted on: June 21, 2013June 21, 2013 - jomushi
Kumbi za Video Vijijini Zinavyo Waathiri Wanafunzi

Kumbi za Video Zawaathiri Wanafunzi Vijijini UTARATIBU wa baadhi ya maeneo ya nje ya miji kuonesha ‘video’ bado unachangamoto kubwa kutokana na kile kuathiri wanafunzi…

Continue Reading....

Nassari Asema Lowassa Anahusika Kunipiga, Mbowe, Lema Wahojiwa

Posted on: June 21, 2013 - jomushi
Nassari Asema Lowassa Anahusika Kunipiga, Mbowe, Lema Wahojiwa

MBUNGE wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake. Aidha amemtuhumu…

Continue Reading....

Mizengo Pinda: Nasema Wapigwe tu, Watakaokataa Kutii Amri …!

Posted on: June 21, 2013June 21, 2013 - jomushi
Mizengo Pinda: Nasema Wapigwe tu, Watakaokataa Kutii Amri …!

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameagiza vyombo vya dola kuwashughulikia kwa kuwapiga wale watakaokataa kutii amri wakati wakifanya vitendo vya uvunjifu wa amani. Akizungumza katika Kipindi…

Continue Reading....

Watanzania Watakiwa Kupiga Magoti na Kuomba

Posted on: June 20, 2013 - jomushi
Watanzania Watakiwa Kupiga Magoti na Kuomba

Na Anna Nkinda – Maelezo, Mbeya WATANZANIA wametakiwa kupiga magoti na kuomba kila mtu kwa imani yake ili mwenyezi Mungu aweze kuwalaani watu ambao wanatishia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari