WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka viongozi wa dini na Watanzania kwa jumla kuwa makini na watu wanaojipitisha na kutoa fedha kutaka uongozi akisema hiyo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Pinda anatupeleka wapi Watanzania?
Hivi karibuni waziri mkuu, Mizengo Pinda alikaririwa na vyombo mbalimbali vya habari akisema “Wapigwe tu, watakao kataa kutii amri!…” wakati anazungumzia Bungeni vurugu zinazoendelea kutokeza…
Continue Reading....Lombero: Nazika Viungo Vyangu Nikiwa Hai
KWA mtu uliyekutana naye miaka saba iliyopita wakati huo akiwa dereva wa magari makubwa aliyefanya kazi zake mchana na usiku huku akilazimika kunyanyua baadhi ya…
Continue Reading....Maaskofu: Serikali Isitumie Nguvu Kudhibiti Vurugu
MAASKOFU wa Kanisa Katoliki nchini wameitaka Serikali kutumia njia ya mazungumzo kumaliza migogoro, badala ya kutumia jazba na nguvu. Vilevile, wamesema kuwa hawako tayari kukaa…
Continue Reading....Wabunge Msigwa, Mwigulu Nchemba Nusura Wachapane Makonde Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa na mbunge wa Iramba Magharibi (CCM), Mwigulu Nchemba jana nusura wachapane makonde baada ya kutupiana…
Continue Reading....UVCCM Taifa Wapinga Mfumo wa Serikali Tatu
MWENYEKITI wa Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), Sadifa Juma Hamisi, amepinga vikali kuwepo kwa mfumo wa Serikali tatu kama inavyopendeka…
Continue Reading....