Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 641

Category: Habari za Nyumbani

ILO Na TACAIDS Kujadili Namna ya Kuwasaidia Vijana Kiuchumi

Posted on: June 26, 2013June 26, 2013 - jomushi
ILO Na TACAIDS Kujadili Namna ya Kuwasaidia Vijana Kiuchumi

Mkurugenzi wa Shirika la Kazi Kanda ya Afrika Mashariki nchini Tanzania (ILO) Bw. Alexio Musindo amesema kupitia msaada kutoka Serikali ya Sweden wa kifedha ILO…

Continue Reading....

Mkurugenzi Mtendaji TGNP Afungua Mafunzo ya Ukatili wa Jinsia

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
Mkurugenzi Mtendaji TGNP Afungua Mafunzo ya Ukatili wa Jinsia

MKURUGENZI Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Usu Mallya amefungua mafunzo ya Ukatili wa Kijinsia na Haki za Binadamu kwa kundi la washiriki kutoka…

Continue Reading....

EOTF: Wanawake Wakiwezeshwa Wanawaza Kutokomeza Umaskini

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
EOTF: Wanawake Wakiwezeshwa Wanawaza Kutokomeza Umaskini

Na Belinda Kweka – MAELEZO WANAWAKE wakiwezeshwa kiuchumi na ikiwa ni pamoja na kupatiwa elimu ya ujasiriamali, kuepuka maradhi hatarishi na kufahamu haki zao katika…

Continue Reading....

WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA

Posted on: June 25, 2013 - Rungwe Jr.
WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA

Wadau, kumradhi kwani huu wosia (ufuatao hapo chini) wa “Lady Jay Dee” ulitolewa week Kandhaa zilizopita, ila kwa sabubu moja au nyingine, haukuweza kutufikia mitamboni…

Continue Reading....

Marekani Yatoa Onyo Kali kwa Msafara wa Rais Obama Dar

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
Marekani Yatoa Onyo Kali kwa Msafara wa Rais Obama Dar

LICHA ya ujumbe wa Rais wa Marekani, Barrack Obama kutarajiwa kufikia katika hoteli kubwa zenye hadhi wakati kiongozi huyo atakapowasili nchini Julai Mosi mwaka huu,…

Continue Reading....

Wabunge Waridhia Bajeti ya Serikali

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
Wabunge Waridhia Bajeti ya Serikali

BUNGE limepitisha Bajeti ya Serikali ya Sh18.2 trilioni iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa katika Bunge la Bajeti linaloisha mwishoni mwa wiki hii.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari