Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 621

Category: Habari za Nyumbani

Dk. Willibrod Slaa Amweka Kitimoto Nchimbi

Posted on: July 29, 2013 - jomushi
Dk. Willibrod Slaa Amweka Kitimoto Nchimbi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi jana alikuwa na wakati mgumu katika Kongamano la Amani lililoandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa…

Continue Reading....

Mke wa Rais Tanzania Ahimiza Ushirikiano Lindi

Posted on: July 28, 2013 - jomushi
Mke wa Rais Tanzania Ahimiza Ushirikiano Lindi

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa mkoa wa Lindi kuishi maisha ya upendo, ushirikiano, umoja na kuwasaidia…

Continue Reading....

Green Waste Pro Ltd Yafanya Usafi Ufukweni Dar

Posted on: July 28, 2013 - jomushi
Green Waste Pro Ltd Yafanya Usafi Ufukweni Dar

Mtendaji wa kata ya Kivukoni, Renatus Ruhungu akizungumzia hatua yao ya kushirikisha wadau katika zoezi la kufanya usafi manispaa ya Ilala, ambapo amesema mwezi ujao…

Continue Reading....

UTU Yaendelea Kupeperusha Vema Bendera ya Tanzania Kimataifa

Posted on: July 28, 2013 - jomushi
UTU Yaendelea Kupeperusha Vema Bendera ya Tanzania Kimataifa

UMOJA wa Watanzania Nchini Ujerumani (UTU) kwa kasi kubwa unaendelea kupeperusha vema bendera ya Tanzania huko Ughaibuni kwa kutumia nafasi zote wanazopewa nchi Ujerumani. Hivi…

Continue Reading....

Rais Kikwete Akiwa Ziarani Ngara Mkoa wa Kagera

Posted on: July 27, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Akiwa Ziarani Ngara Mkoa wa Kagera

Continue Reading....

Rais Kikwete Awaelekeza Madiwani Udhibitini Wizi wa Dawa

Posted on: July 27, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Awaelekeza Madiwani Udhibitini Wizi wa Dawa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewaagiza madiwani wa Halmashauri zote nchini kudhibiti wizi wa dawa katika hospitali na vituo vingine…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari