*Ni wanaoishi ’Kimaisha Plus’ Wilayani Sikonge, Awaahidi Bajaj, Luninga, deck na King’amuzi WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameahidi kutoa sh. milioni 10 ili kuwasaidia vijana…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Rais Kikwete Amlilia Askofu Mkuu Moses Kulowa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kuhuzunishwa na taarifa za kifo cha Kiongozi wa Kanisa la Evangelistic Assemblies…
Continue Reading....Rais Kikwete Ateuwa Kamishna Mkuu, Idara ya Uhamiaji Mpya
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Sylvester Ambokile Mwakinyule kuwa Kamishna Mkuu, Idara ya Uhamiaji. Taarifa iliyotolewa 29 Agosti, 2013…
Continue Reading....Rais Kikwete Ateuliwa Kujadili Utandawazi Ulimwenguni
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa miongoni mwa watu wachache mashuhuri duniani ambao watajadili Mawazo na Njia Mpya za…
Continue Reading....Kampuni ya Bia ya Serengeti Yaendeleza Sera ya Kilimo Kwanza
*Yawaunga mkono wakulima wa shayiri na ngano mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara Wakulima wa kanda ya kaskazini katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara…
Continue Reading....