Na Mwandishi Wetu, Kahama KATIBU wa NEC ya CCM itikadi na Uenezi amesema kinachowasumbua Chadema mpaka wanafanya yote waliyoyafanya hasa ngumi na vurugu bungeni ni…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Pinda Aonya Kuhusu Ardhi na Uvunjifu Amani
*Asema hakuna mwekezaji anayeuziwa ardhi WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itahakikisha kuwa ardhi ambayo Watanzania wamepewa na Mungu haibadiliki na kuwa chanzo cha…
Continue Reading....Matapeli Watumia Jina la Rais Kikwete…!
NDUGU msomaji wetu kuna matapeli wameunda mtandao na kuupa jina la Rais Jakaya Kikwete (yaani JAKAYA FOUNDATION) kwa lengo la kuwatapeli Watanzania. Tafadhali ukikutana na…
Continue Reading....Maagizo ya Rais Kikwete kwa Kamati ya Taifa ya Uwekezaji
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea na kuisoma Ripoti Kuhusu Ushindani wa Kibiashara Duniani (Global Competitiveness Index – GCI) itolewayo…
Continue Reading....Waziri wa Mazingira Akagua Kiwanda Kipya cha Kuchambua Taka Tanzania
Diwani wa Kata ya Gongo la Mboto ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akimlaki mgeni rasmi Waziri wa…
Continue Reading....Ugonjwa Usiojulikana Wamtesa Mwandishi wa Habari Tanga
Na Dotto Mwaibale, Tanga ZUBERI Mussa ambaye ni mpiga picha mkongwe katika vyombo mbalimbali vya habari nchini ambaye kwa sasa anafanyakazi kampuni ya New Habari…
Continue Reading....