Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi VIJANA nchini wametakiwa kuwa wawazi, waaminifu na waadilifu kwani huo ndiyo msingi mkubwa wa kupambana na rushwa ili waweze kuwa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
JK Mjini Windhoek Kuhudhuria Mkutano wa SADC Troika Organ
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Windhoek, Namibia, jioni ya Septemba 11, 2013, kuhudhuria Mkutano wa Asasi ya…
Continue Reading....Rais Kikwete Asema Mnaonibeza Mtaaibika 2015
RAIS Jakaya Kikwete amesema wale wote wanaombeza kuhusu utendaji wake, wataona aibu atakapomaliza muhula wake 2015 huku akiwananga baadhi ya wanaCCM kwa kushindwa kuyaelezea mafanikio…
Continue Reading....Ufisadi Halmashauri ya Jiji Dar es Salaam
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam ilikiuka taratibu za utoaji wa zabuni ya kubomoa jengo lililokuwa ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani…
Continue Reading....Alex Massawe Apandishwa Kizimbani Dubai
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Alex Massawe amefikishwa mahakamani Dubai, Falme za Kiarabu (UAE), kwa tuhuma za mauaji baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Polisi…
Continue Reading....Abdulrahman Kinana Awapasha Wawekezaji, Diwani TLP Amfagilia
*Awataka kutoa michango ya maendeleo jamii inayowazunguka KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wawekezaji nchi kujenga tabia ya kutoa…
Continue Reading....