Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 591

Category: Habari za Nyumbani

Masogange, Melisa Waachiwa Huru Afrika Kusini

Posted on: September 21, 2013 - jomushi
Masogange, Melisa Waachiwa Huru Afrika Kusini

MTANZANIA Agnes Gerald, maarufu Masogange, ameachiwa huru na Mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, baada ya kulipa faini ya R30,000 (Sh4.8 milioni) kwa kosa la…

Continue Reading....

Wakubaliana Kuunda Rasimu ya Shirikisho la EAC

Posted on: September 21, 2013 - jomushi
Wakubaliana Kuunda Rasimu ya Shirikisho la EAC

  Na James Gashumba, EANA MKUTANO wa maafisa waandamizi kutoka Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi wa kuharakisha Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki umekubaliana kuanza…

Continue Reading....

Wamiliki Vyombo vya Habari Waaswa Kuwapa Safari Waandishi

Posted on: September 20, 2013September 21, 2013 - jomushi
Wamiliki Vyombo vya Habari Waaswa Kuwapa Safari Waandishi

Eleuteri Mangi-Maelezo WAMILIKI wa vyombo vya habari nchini wameaswa kuwajengea mazingira mazuri waandishi wa habari wa vyombo vyao ili waweze kuhabarisha umma wa Watanzania mambo…

Continue Reading....

Hakuna Tishio la China – Rais Kikwete

Posted on: September 20, 2013September 21, 2013 - jomushi
Hakuna Tishio la China –  Rais Kikwete

RAIUS Jakaya Kikwete amesema maslahi ya makampuni ya Marekani yanayotaka kuwekeza katika Tanzania hayataathiriwa na kuwepo kwa China katika uchumi wa Tanzania kwa sababu China…

Continue Reading....

JK Ajitetea Sakata la Operesheni Kimbunga Marekani

Posted on: September 20, 2013September 21, 2013 - jomushi
JK Ajitetea Sakata la Operesheni Kimbunga Marekani

*Tunaondoa wahamiaji haramu, siyo wakimbizi, RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameiambia Kamati ya Bunge la Marekani kuwa Tanzania haijafukuza mkimbizi…

Continue Reading....

JK Kutunukiwa Shahada ya Uzamivu

Posted on: September 20, 2013September 21, 2013 - jomushi
JK Kutunukiwa Shahada ya Uzamivu

RAIS WA JAMHURI ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete Septemba 20, 2013, anatunukiwa Shahada ya Uzamivu (PHD) na Chuo Kikuu cha Guelph cha Canada…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari