Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 580

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Pinda Kuanza Ziara China

Posted on: October 15, 2013 - jomushi
Waziri Pinda Kuanza Ziara China

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda anaondoka Dar es Salaam Jumanne, Oktoba 15, 2013 kwenda China kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kwa mwaliko wa Serikali…

Continue Reading....

Jamani Hali ni Mbaya Shule za Msingi Kituoni na Kisaki Kata ya Kisaki Morogoro

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Jamani Hali ni Mbaya Shule za Msingi Kituoni na Kisaki Kata ya Kisaki Morogoro

Watoto wa Kike wa Shule ya Msingi Kisaki wakielekea shuleni, bahati mbaya viatu hakuna miguuni kutokana na hali ya umasikini kwenye familia zao. Naona hapa…

Continue Reading....

Matukio Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Viwanja vya Samora, Iringa

Posted on: October 14, 2013 - jomushi

  Rais Jakaya Kikwete akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2013 Bw.Juma Ali Simai leo katika uwanja wa…

Continue Reading....

Ajinyonga Mtini na Maiti Kukutwa Ikining’inia

Posted on: October 14, 2013October 14, 2013 - jomushi

Mtu ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining’inia juu ya mti mara  baada ya kujinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro. Chanzo cha mtu huyu kujinyonga hakijafahamika…

Continue Reading....

Mwalimu Nyerere Ataendelea Kuwa Baba wa Taifa Milele…!

Posted on: October 14, 2013October 15, 2013 - jomushi
Mwalimu Nyerere Ataendelea Kuwa Baba wa Taifa Milele…!

LEO ni kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julias Kambarage Nyerere. Kila ifikapo Oktoba 14 kila mwaka Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya kifo cha…

Continue Reading....

Mkasa Mzima wa Mauaji ya Mama Yake na Kupigwa Risasi Mwandishi wa ITV, Ufoo Saro

Posted on: October 14, 2013October 14, 2013 - jomushi
Mkasa Mzima wa Mauaji ya Mama Yake na Kupigwa Risasi Mwandishi wa ITV, Ufoo Saro

  MWANDISHI wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro amejeruhiwa vibaya baada ya kupigwa risasi mbili jana alfajiri huko Kibamba, Dar es Salaam. Katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari