RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara kufuatia…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Dk. Nchimbi Kufungua Mkutano wa Maofisa Waandamizi Jeshi la Magereza
Na Eliphace Marwa – MAELEZO WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dk. Emmanuel Nchimbi anatarajia kufungua mkutano wa siku mbili wa Maofisa waandamizi wa…
Continue Reading....Rais atoa Rambirambi za Msiba wa “Uncle J. Nyaisanga”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Dkt. Fenella…
Continue Reading....Mtangazaji Julius Nyaisanga Afariki Dunia
MTANGAZAJI maarufu wa siku nyingi ambaye kwa sasa alikuwa Meneja wa kituo cha Aboud Media, Julius Nyaisanga aka “Uncle J”, amefariki dunia. Taarifa zinasema marehemu…
Continue Reading....‘Wananchi Wanataka Uadilifu na Uaminifu si Majengo Mazuri’
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa majengo mazuri ya ofisi za Halmashauri mbali mbali nchini ni muhimu lakini muhimu…
Continue Reading....BMAF Yapokea Msaada wa Milioni 50 Kuboresha Huduma za Afya
Eleuteri Mangi-Maelezo TAASISI isiyoya kiserikali ya Benjamin William Mkapa Foundation (BMAF) imepokea msaada wa Sh. milioni 50 za kitanzania kwa mwaka 2013 katika kutekeleza mpango…
Continue Reading....