Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 568

Category: Habari za Nyumbani

Upangaji Mpya wa Viwango vya Alama Kidato cha Nne na Sita

Posted on: November 1, 2013 - jomushi
Upangaji Mpya wa Viwango vya Alama Kidato cha Nne na Sita

UTANGULIZI Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhitimu Kidato cha Nne na cha…

Continue Reading....

Sumbu Galawa Afariki Dunia, Ikulu Yamkumbuka

Posted on: October 31, 2013 - jomushi
Sumbu Galawa Afariki Dunia, Ikulu Yamkumbuka

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Singida,…

Continue Reading....

Baba Mzazi wa Wema Sepetu Aagwa, Azikwa Unguja

Posted on: October 31, 2013 - jomushi
Baba Mzazi wa Wema Sepetu Aagwa, Azikwa Unguja

  Jeneza la Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu, likiwa limebebwa na Askari Polisi na kulifikisha katika kaburi lake yalipofanyika mazishi kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya…

Continue Reading....

Saini Zakusanywa Kumng’oa Spika wa Bunge Makinda Tanzania

Posted on: October 31, 2013 - jomushi
Saini Zakusanywa Kumng’oa Spika wa Bunge Makinda Tanzania

MBUNGE wa Nzega, Dk Khamis Kigwangalla, (CCM), leo anatarajiwa kuanza kukusanya saini za wabunge akitafuta kuungwa mkono katika hoja ya kutokuwa na imani na Spika…

Continue Reading....

Mwanafunzi Aliye Bakwa Hadi Ujauzito, Aomba Kufanya Mtihani

Posted on: October 31, 2013 - jomushi
Mwanafunzi Aliye Bakwa Hadi Ujauzito, Aomba Kufanya Mtihani

VITENDO vya ubakaji vimeendelea kuumiza akili za wapigania haki na ustawi wa wanawake nchini Tanzania kwa muda mrefu sasa. Miongoni mwa kesi hizi zimehusisha wasichana…

Continue Reading....

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi NSSF Watembelea Miradi Dar

Posted on: October 30, 2013October 30, 2013 - jomushi
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi NSSF Watembelea Miradi Dar

Mmoja wa maofisa wa juu na mhandisi kutoka NSSF akifafanua jambo kwa wajumbe wa bodi. Na Joachim Mushi, Dar es Salaam WAJUMBE wa Bodi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari