Na Isaac Mwangi, EANA – Arusha WAANDISHI wa habari 30 kutoka nchi wananchama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameaanza mafunzo juu ya uandishi…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Takwimu Wataja Sababu ya Mfumuko wa Bei Tanzania, Shilingi Yapanda…!
Na Aron Msigwa – MAELEZO HALI ya kuongezeka kwa bei ya bidhaa za vyakula na nyinginezo katika maeneo mbalimbali nchini imechangia kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa…
Continue Reading....Sherehe za Maadhimisho ya Saba ya Siku ya Mlipakodi Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti na zawadi, mshindi wa kwanza kwa kulipa kodi, Meneje wa…
Continue Reading....Mwandishi wa Habari Alia Baada ya Kutangazwa Mshindi Tuzo ya Mwangosi
MHARIRI Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda aliangua kilio baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Uandishi wa Habari Uliotukuka ya…
Continue Reading....Mpango wa Damu Salama Wavuka Malengo Ukusanyaji Damu…!
Na Mwandishi Wetu MPANGO wa Taifa wa Damu Salama Tanzania (NBTS) umevuka malengo ya ukusanyaji damu kwa asilimia 110 katika kipindi cha miezi mitatu ya Julai hadi…
Continue Reading....Tanzania Haitajitoa Uanachama EAC Ng’o – Rais Kikwete
Na Mwandishi Wetu, Dodoma RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema nchi ya Tanzania haitajitoa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) licha ya vitendo vya ‘ubaguzi’…
Continue Reading....