Na Mwandishi Wetu KANISA la ‘Christ Embassy Tanzania’ leo limekula chakula cha mchana pamoja na watoto yatima wa kituo cha SOS Children’s Villages cha jijini…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Samsung Yamkabadhi Rasmi Gari Mshindi wa Promosheni ya Pambika na Samsung
MSHINDI wa droo kubwa ya promosheni ya Pambika na Samsung Bw. Juma Musa Ramadhan (46) amekabidhiwa rasmi zawadi yake ya gari aina ya Mitsubishi Double…
Continue Reading....Mwanachuo Mwingine wa CBE Dodoma Afariki Dunia
IKIWA ni siku moja imepita Tangu Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dodoma kiondokewe na aliye wahi kuwa Mwanafunzi wa Chuo hicho katika Level ya Diploma 2012/2013, Marehemu…
Continue Reading....Waziri Mkuu Pinda Apewa Msaada wa Pikipiki 44 Kusaidia Wilaya ya Mlele
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China. Amekabidhiwa msaada huo Desemba…
Continue Reading....Heri Ya Kristmas na Mwaka Mpya!
GAZETI la Mtandao la dev.kisakuzi.com (www.thehabari.com) linawatakia wasomaji wake na Watanzania wote kwa ujumla Heri ya Krismas na Mwaka Mpya 2014. Gazeti hili lina watakia…
Continue Reading....TMA Yasema Chrismas Huwenda Isiwe ‘Samalama’ Ukanda wa Pwani
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewatahadharisha wakazi wa maeneo yote ya ukanda wa Pwani nchi kuchukua tahadhari kwani vipimo vya hali ya hewa…
Continue Reading....