Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 534

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Dk Mgimwa Kuzikwa Januari 6 Iringa

Posted on: January 2, 2014 - jomushi
Waziri Dk Mgimwa Kuzikwa Januari 6 Iringa

Na Joachim Mushi ALIYEKUWA Waziri wa Fedha nchini Tanzania, Dk. William Mgimwa aliyefariki dunia nchini Afrika Kusini anatarajiwa kuzikwa Tanzania Januari 6, 2014. Mwili wa…

Continue Reading....

Serengeti Breweries Ltd Yawazawadia Wateja LCD TV

Posted on: January 2, 2014January 2, 2014 - jomushi
Serengeti Breweries Ltd Yawazawadia Wateja LCD TV

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries (SBL) kupitia kinywaji chake kikali cha Baileys imetoa zawadi mbili za LCD TV kubwa za kisasa kwa wateja wake…

Continue Reading....

JK Asitushwa Kifo cha Dk Mgimwa, Asema Taifa Lilimuhitaji

Posted on: January 1, 2014 - jomushi
JK Asitushwa Kifo cha Dk Mgimwa, Asema Taifa Lilimuhitaji

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha, William Mgimwa,…

Continue Reading....

Waziri wa Fedha Afariki Dunia

Posted on: January 1, 2014 - jomushi
Waziri wa Fedha Afariki Dunia

WAZIRI wa Fedha nchini Tanzania, Dk. William Mgimwa amefariki dunia nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa taarifa ambazo mtandao huu umezipata na kuthibitishwa na Katibu…

Continue Reading....

Tunaumaliza Mwaka 2013 Nchi Ikiwa Salama; JK

Posted on: January 1, 2014 - jomushi
Tunaumaliza Mwaka 2013 Nchi Ikiwa Salama; JK

RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewapongeza wa Tanzania kwa ujumla pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuhakikisha nchi imemaliza mwaka 2013 ikiwa na…

Continue Reading....

IGP Mpya Tanzania Aapishwa na Rais Kikwete

Posted on: December 31, 2013 - jomushi
IGP Mpya Tanzania Aapishwa na Rais Kikwete

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpatia nyenzo za kazi baada ya kumuapisha Naibu  Inspekta Generali wa Polisi (IGP) mpya Afande Abdulrahman Kaniki katika viwanja vya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari