Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 529

Category: Habari za Nyumbani

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Mahanga Ashtakiwa kwa Kuvunja Sheria za Kazi

Posted on: January 17, 2014January 17, 2014 - jomushi
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Mahanga Ashtakiwa kwa Kuvunja Sheria za Kazi

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dk. Makongoro Mahanga ameingia kwenye kashfa nzito ya kuvunja sheria za kazi nchini…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Pinda Awataka Wananchi Kiteto Kutii Amri ya Mahakama

Posted on: January 16, 2014 - jomushi
Waziri Mkuu Pinda Awataka Wananchi Kiteto Kutii Amri ya Mahakama

*Amtaka RC, DC na Halmashauri kupitia upya ramani ya hifadhi WAZIRI Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda amewataka wakazi wa wilaya ya Kiteto mkoani Manyara wanaolima…

Continue Reading....

Dk Mukangara Amteuwa Chana Kuwa Mwenyekiti Bodi ya Filamu

Posted on: January 16, 2014 - jomushi
Dk Mukangara Amteuwa Chana Kuwa Mwenyekiti Bodi ya Filamu

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara amemteua Pindi Chana kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu na Michezo ya kuigiza katika kipindi…

Continue Reading....

Marehemu Jaji George Liundi Aagwa na Viongozi Anuai Dar

Posted on: January 16, 2014 - jomushi
Marehemu Jaji George Liundi Aagwa na Viongozi Anuai Dar

 Rais Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu, Jaji George Liundi wakati wa shughuli za kuagwa mwili huo zilizofanyika…

Continue Reading....

Hebu tuone soni, lau kidogo basi!

Posted on: January 16, 2014January 16, 2014 - Rungwe Jr.
Hebu tuone soni, lau kidogo basi!

Pichani, Generali Ulimwengu akitoa somo. NIMEPENDEKEZA kwamba, ili kujenga misingi ya diplomasia yenye tija kwa nchi yetu, hatuna budi kuangalia mambo tunayoyafanya na kuachana na…

Continue Reading....

Mzee Mkapa Amechangia Historia ya Nchi Yetu; Asema Rais Kikwete

Posted on: January 15, 2014 - jomushi
Mzee Mkapa Amechangia Historia ya Nchi Yetu; Asema Rais Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemsifu na kumpongeza Rais wa tatu wa Tanzania, Mzee Benjamin William Mkapa kwa kuchangia historia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari