Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 512

Category: Habari za Nyumbani

Matokeo Kidato cha Nne; Wanafunzi 235,227 Wafaulu, 151,187 Wapata Ziro

Posted on: February 21, 2014 - jomushi
Matokeo Kidato cha Nne; Wanafunzi 235,227 Wafaulu, 151,187 Wapata Ziro

Na Mwandishi Wetu MATOKEO ya Kidato cha nne kwa 2013 yametangazwa huku watahiniwa 235,227 wakifaulu mtihani huo ikiwa ni sawa na asilimia 58.25 ya waliofanya…

Continue Reading....

Wabunge Bunge la Katiba Walalamikia Posho ya Shs 300,000, Wadai Haiwatoshi..!

Posted on: February 20, 2014 - jomushi
Wabunge Bunge la Katiba Walalamikia Posho ya Shs 300,000, Wadai Haiwatoshi..!

Na Magreth Kinabo – Maelezo Dodoma MWENYEKITI wa muda wa Bunge Maalum la Katiba, Ameir Pandu Kificho, ametangaza timu ya wajumbe sita kwa ajili ya…

Continue Reading....

Jaji Werema Awapa Somo Wajumbe Bunge la Katiba

Posted on: February 20, 2014 - jomushi
Jaji Werema Awapa Somo Wajumbe Bunge la Katiba

Na Magreth Kinabo – Maelezo, Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema amewataka wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kuijadili Rasimu ya Katiba Mpya…

Continue Reading....

Watoto Mapacha Walioungana Watenganishwa Nchi India

Posted on: February 20, 2014 - jomushi
Watoto Mapacha Walioungana Watenganishwa Nchi India

Na Aron Msigwa – MAELEZO HATIMAYE watoto mapacha kutoka wilayani Kyela mkoani Mbeya waliokuwa wamepelekwa na Serikali kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kuwatenganisha jana walirejea nchini…

Continue Reading....

DC Asema Mbinu za Kisasa Zinahitajika Kuelimisha Jamii

Posted on: February 20, 2014 - jomushi
DC Asema Mbinu za Kisasa Zinahitajika Kuelimisha Jamii

  Na Mwandishi Wetu DEMOKRASIA vijijini itapatikana iwapo vyombo vya habari jamii vitatumika kikamilifu na kutekeleza wajibu wake wa kupasha habari kwa kutumia teknolojia mpya.…

Continue Reading....

UWT Wampongeza Rais Kikwete Uteuzi Wajumbe Bunge la Katiba

Posted on: February 19, 2014 - jomushi
UWT Wampongeza Rais Kikwete Uteuzi Wajumbe Bunge la Katiba

Na Anna Nkinda – Maelezo UMOJA wa Wanawake wa Tanzania (UWT) umempongeza, Rais Dk. Jakaya Kikwete kwa uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari