Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 510

Category: Habari za Nyumbani

JK Atoe Tamko Juu ya ‘Waraka’ wa CCM…!

Posted on: February 27, 2014February 27, 2014 - jomushi
JK Atoe Tamko Juu ya ‘Waraka’ wa CCM…!

WARAKA unaodaiwa kuandaliwa na CCM kwa ajili kuwaelekeza wajumbe wake kwenye Bunge Maalumu la Katiba kutetea msimamo wa Serikali mbili umepokewa kwa hisia tofauti huku…

Continue Reading....

Kanuni za Kuliongoza Bunge la Katiba Zakabidhiwa…!

Posted on: February 26, 2014 - jomushi
Kanuni za Kuliongoza Bunge la Katiba Zakabidhiwa…!

Na Magreth Kinabo- Maelezo, Dodoma KAMATI ya Kumshauri Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalum kuhusu Kanuni za Bunge maalum imewasilisha taarifa katika semina iliyoandaliwa kwa wajumbe wa bunge hilo, ambapo…

Continue Reading....

Serikali Yaahidi Ushirikiano na Viongozi wa Dini Juu ya Rasilimali za Nchi

Posted on: February 26, 2014 - jomushi
Serikali Yaahidi Ushirikiano na Viongozi wa Dini Juu ya Rasilimali za Nchi

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO Mtwara RASILIMALI za gesi asilia, mafuta na madini zilizopo mikoa ya Lindi na Mtwara ni kwa neema, ukarimu, ufadhili na baraka za…

Continue Reading....

JK Amteuwa Msaidizi wake Masuala ya Hotuba

Posted on: February 26, 2014 - jomushi
JK Amteuwa Msaidizi wake Masuala ya Hotuba

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Togolani I. Mavura kuwa Msaidizi wa Rais (Hotuba) kuanzia Februari 8, mwaka huu,…

Continue Reading....

Daktari ‘Feki’ wa Muhimbili Akamatwa..!

Posted on: February 26, 2014February 26, 2014 - jomushi
Daktari ‘Feki’ wa Muhimbili Akamatwa..!

MAOFISA Usalama wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamemkamata mtu anayedaiwa kutoa huduma kwa wagonjwa kinyume cha utaratiba na kwamba, amekuwa akiwatapeli wagonjwa wanaokwenda kupata…

Continue Reading....

Maliasili na Utalii Kwawaka ‘Moto’, Wakurugenzi Watimuliwa..!

Posted on: February 24, 2014 - jomushi
Maliasili na Utalii Kwawaka ‘Moto’, Wakurugenzi Watimuliwa..!

Na Joachim Mushi WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemfukuza kazi Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori ya Wizara ya Maliasili na Utalii, Profesa Alexander…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari