Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 506

Category: Habari za Nyumbani

RC Dar Ataka Mikakati Kukabiliana na Changamoto za Wanawake

Posted on: March 7, 2014 - jomushi
RC Dar Ataka Mikakati Kukabiliana na Changamoto za Wanawake

Na Aron Msigwa – Maelezo ZIKIWA zimebaki siku chache Tanzania iungane na mataifa mengine kuadhimisha siku ya Wanawake duniani, Mkuu wa Mkoa wa Dar es…

Continue Reading....

Ziara ya UVCCM Mwanga Yavuna Wanachama 1,800

Posted on: March 7, 2014 - jomushi
Ziara ya UVCCM Mwanga Yavuna Wanachama 1,800

ZIARA ya Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro, Japhar Mghamba akiongozana na Katibu Msaidizi wa Mkoa Maalum wa Vyuo Vikuu Daniel Zenda…

Continue Reading....

Dhana na Maana ya Bunge Maalum la Katiba

Posted on: March 7, 2014March 7, 2014 - Rungwe Jr.
Dhana na Maana ya Bunge Maalum la Katiba

Mtaalam wa masuala ya Katiba, Prof. Dr. Issa Shivji BUNGE Maalumu la Katiba (constituent assembly) ni chombo mahsusi cha wananchi cha kutunga Katiba yao. Katika…

Continue Reading....

Mwenyekiti wa ‘Chadema’ Kitongoji Aitabiria CCM Ushindi

Posted on: March 7, 2014 - jomushi
Mwenyekiti wa ‘Chadema’ Kitongoji Aitabiria CCM Ushindi

Na Bashir Nkoromo, Kalenga ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kitongoji cha Lupembelwasenga, Jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, Ezekiel Kibiki, ambaye kwa…

Continue Reading....

Hatari; Mvua Kubwa Kunyesha Mtwara, Lindi, Pwani, Dar es Salaam, Tanga na Zanzibar

Posted on: March 5, 2014April 12, 2014 - jomushi
Post Tags: Enter your zip code here
Hatari; Mvua Kubwa Kunyesha Mtwara, Lindi, Pwani, Dar es Salaam, Tanga na Zanzibar

NAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza uwezekano wa kunyesha mvua kubwa zinazoweza kuleta maafa katika baadhi ya mikoa ya Ukanda wa Pwani. Kwa…

Continue Reading....

Walimu Wamshushia Kipigo Mwanafunzi, Alazwa Hospitalini Kisa Mchango wa Sherehe

Posted on: March 5, 2014 - jomushi
Walimu Wamshushia Kipigo Mwanafunzi, Alazwa Hospitalini Kisa Mchango wa Sherehe

Yohane Gervas, Rombo WALIMU wawili wa Shule ya Sekondari Ubaa iliyopo katika tarafa ya Mkuu Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wanatuhumiwa kumshambulia na kumjeruhi vibaya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari