Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 170

Category: Habari za Nyumbani

Marchi 24 Mwisho wa Kuhakiki Watumishi Ilala

Posted on: March 22, 2016 - Yohana Chance
Marchi 24 Mwisho wa Kuhakiki Watumishi Ilala

Na; Raymond Mushumbusi – MAELEZO Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wamepewa mpaka tarehe 24 Marchi mwaka huu wawe wamekwenda kuhakikiwa katika ofisi za…

Continue Reading....

Rais Mstaafu Dkt Kikwete Awasili Salama Tunisia Akitokea Oman

Posted on: March 22, 2016March 22, 2016 - Yohana Chance
Rais Mstaafu Dkt Kikwete Awasili Salama Tunisia Akitokea Oman

Picha na Maktaba

Continue Reading....

Isaya Mwita wa Ukawa Aibuka Kidedea Umeya wa Jiji la Dar es Salaam

Posted on: March 22, 2016March 22, 2016 - Yohana Chance
Isaya Mwita wa Ukawa Aibuka Kidedea Umeya wa Jiji la Dar es Salaam

UCHAGUZI wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam ambao umefanyika leo katika ukumbi wa Kareemjee zimeshuhudiwa kuwa mgombea wa vyama vya UKAWA, kupitia chama…

Continue Reading....

Wanafunzi Wasomea Chini Waiomba Serikali Kuboresha Mazingira

Posted on: March 22, 2016 - Yohana Chance
Wanafunzi Wasomea Chini Waiomba Serikali Kuboresha Mazingira

Na: Woinde Shizza, Simanjiro Mpango mkakati wa elimu bure kuanzia darasa la awali mpaka sekondari umeonekana kutonufaisha baadhi ya walengwa katika maeneo ya pembezeno hususani…

Continue Reading....

Picha za Ajari ya Msafara wa TAMISEMI Iliyoua Mkoani Pwani

Posted on: March 22, 2016 - Yohana Chance
Picha za Ajari ya Msafara wa TAMISEMI Iliyoua Mkoani Pwani

Katika Ajali hiyo iliyotokea Mkoani Pwani Ilisababisha kujeruhi watu kumi na vifo vya watu watano ambao ni Halid Hasan, Makame Ally, Hilda Msele, Tunsiime Duncan,…

Continue Reading....

Rais Dkt Magufuli Atuma Salamu za Pongezi kwa Rais Mteule wa Zanzibar

Posted on: March 21, 2016March 21, 2016 - Yohana Chance
Rais Dkt Magufuli Atuma Salamu za Pongezi kwa Rais Mteule wa Zanzibar

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari