Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,153

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete amteua Balozi Kazaura Mkuu wa Chuo UDSM

Posted on: October 18, 2011 - jomushi
Rais Kikwete amteua Balozi Kazaura Mkuu wa Chuo UDSM

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Balozi Fulgence Kazaura kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)…

Continue Reading....

Balozi Amina Ali atunukiwa tuzo ya Mwanadiplomasia wa mwaka

Posted on: October 18, 2011October 18, 2011 - jomushi
Balozi Amina Ali atunukiwa tuzo ya Mwanadiplomasia wa mwaka

Mwandishi Maalum BALOZI wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Bi. Amina Salum Ali ametunukiwa tuzo ya Mwanadiplomasia wa Mwaka na Taasisi ya Jumuiya za Africa…

Continue Reading....

SMZ yapanga kufanya mageuzi ya kilimo

Posted on: October 17, 2011 - jomushi
SMZ yapanga kufanya mageuzi ya kilimo

Na Rajab Mkasaba Ikulu, Zanzibar MTAZAMO wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni kufanya mageuzi makubwa ya kilimo kwa kutumia nyenzo bora, mbolea na utaalamu na…

Continue Reading....

Millya aandamana na UVCCM kwenda Polisi

Posted on: October 17, 2011 - jomushi
Millya aandamana na UVCCM kwenda Polisi

Na Janeth Mushi, Arusha VIJANA wa Jumiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoani hapa, jana wameandamana hadi Kituo Kikuu cha Polisi kumsindikiza Mwenyekiti…

Continue Reading....

Kesi ya kupinga ubunge wa Lema yakwama tena

Posted on: October 17, 2011 - jomushi
Kesi ya kupinga ubunge wa Lema yakwama tena

Na Janeth Mushi, Arusha KESI ya kupinga matokeo ya ubunge wa Godbless Lema (CHADEMA) Jimbo la Arusha Mjini, imekwama kuanza usikilizwaji wa awali tena hadi…

Continue Reading....

APRM kueleza mafanikio, changamoto za utawala bora Zanzibar

Posted on: October 17, 2011 - jomushi
APRM kueleza mafanikio, changamoto za utawala bora Zanzibar

Na Hassan Abbas MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) utawaeleza viongozi mbalimbali wa kisiasa na watendaji wengine Zanzibar juu ya mafanikio katika kujenga misingi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari