Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,151

Category: Habari za Nyumbani

Lowassa: Uvumilivu sasa basi

Posted on: October 20, 2011 - jomushi
Lowassa: Uvumilivu sasa basi

Monduli WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amevunja ukimya na kuzungumzia tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa kwake, huku akisisitiza kuwa sasa amechoka kukashifiwa. Alisema kuanzia sasa hatakubali kuchafuliwa…

Continue Reading....

Ujenzi wa Kituo cha Wanafunzi UDSM ni msaada kwa wanafunzi- JK

Posted on: October 20, 2011 - jomushi
Ujenzi wa Kituo cha Wanafunzi UDSM ni msaada kwa wanafunzi- JK

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Tanzania Jakaya Kikwete amesema kuwepo kwa Kituo cha Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kutakidhi mahitaji mengi mbalimbali…

Continue Reading....

Makamu wa Rais Dk. Bilal, Mama Maria Nyerere wahudhuria kumbukizi ya kifo cha Samora Machel

Posted on: October 20, 2011 - jomushi
Makamu wa Rais Dk. Bilal, Mama Maria Nyerere wahudhuria kumbukizi ya kifo cha Samora Machel

Continue Reading....

Wananchi watakiwa kusimamia kesi za ukatili zifike mahakamani

Posted on: October 19, 2011October 20, 2011 - jomushi
Wananchi watakiwa kusimamia kesi za ukatili zifike mahakamani

Na Ananilea Nkya Mkurugenzi Mtendaji TAMWA. WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wameshauriwa kusimamia kesi zao zinazohusu ukatili wa kijinsia kuhakikisha zinafikishwa katika vyombo vya…

Continue Reading....

Semina ya Jinsia na Maendeleo

Posted on: October 19, 2011 - jomushi
Semina ya Jinsia na Maendeleo

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) unawakaribisha wananchi wote katika mfululizo wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) zinazofanyika kila Jumatano. Wiki hii itakuwa ya POLICE…

Continue Reading....

Kila binadamu ‘anakichaa’ chake bwana!

Posted on: October 19, 2011October 19, 2011 - jomushi
Kila binadamu ‘anakichaa’ chake bwana!

KAMERA ya dev.kisakuzi.com leo imelinasa tukio hili katika barabara ya Morogoro karibu na Jengo la Ubungo Plazza. Mtu huyu pichani kwa kipindi kirefu amekuwa akionekana…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari